Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natumia Tecno c8, nikitumiwa meseji kwenye WhatsApp au Imo notification haziji muda muafaka ( automatic ) hata kama data iko on. Nikiingia labda kwenye WhatsApp ndio nakutana nazo. Yaani kwa lugha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu! Natafuta simu mpya inayo suppot 4G, bajeti yangu ni tsh 200,000/= lakini sijajua ni brand gani nitapata kwa sifa na bajeti hiyo... nipo dar! Msaada tafadhali kwa mwenye kujua.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Zipo taarifa za kutoka TCRA kuwa ifikapo June simu nyingi zitazimwa ,ambazo kwa viwango vyake sio halisi. Kwa utafiti wangu huku mtaani kutakuwepo kilio ambacho na malalamiko huenda kushinda cha...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
wanajukwaa naomba msaada wenu.. hivi simu mpya kushindwa kuwaka licha ya kuichaji kwa almost masaa ma4 inatokana na nini? ni tecno c5
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jaman wandugu habari zenu simu yangu aina ya be model:UNO20 haionyesh alama za data pale juu lakini data zinawaka kama kawaida lakini huoni 3g,h+ wala nini na internet haifungui msaada tafadhali
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wakuu, naomba kufahamishwa kitaalamu.Mimi ninafanya shughuli za ujenzi na shughuli mbalimbali za kiuchumi. -Huwa natumia sana internet ya vodacom na halotel.Lakini nimekuwa nikichunguza...
2 Reactions
45 Replies
8K Views
Najua wengi ni watumiaji wa OS ya window ikiwemo xp,w7,8,8.1,10n.k leo tujadili kuhusu hili tatizo kama linavyojieleza kwenye title hapo juu . Kwa namna ninavyofahamu Tatizo hili usababishwa na...
1 Reactions
0 Replies
710 Views
Wakuu tuelimishane kuhusu web browser ni ipi iko vizuri na unapenda kuitumia kwa sababu ipi, je extensions zinazoweza kutokea kwenye hiyo browser unazipenda na kama huzipendi unachukua hatua gani...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Nacho Ni Aina Au Staili Ya Maandishi Wanayotumia (font) Kwenye Jina La Brand Za Simu Zao. Hivi Katika Font Zote Duniani Jamaa Wameona Ile? Ni Mbaya Kwa Kweli Hadi Inapoteza Ubora Wa Simu Zao...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
software gani nzuri ya kuflash simu za android
1 Reactions
0 Replies
437 Views
habari wakuu natumai tupo poa bt naomba natumia laptop Dell Latitude|E6400 mwanzo nilipotoka nayo dukani ilikuwa inaconnect Wi-fi bila shida yeyote lakini windows yake haikuwa Gunien hivyo...
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Salama wenzangu na mimi. Naomba mwenye kujua software inayoweza ku convert pdf file kwenda excel anijuze.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Anaeweza kuweka playstore kwenye hiyoo simu na kuifanya ikawa inapandisha 4g maana inayo lakn aipandishii msaada pliz
0 Reactions
5 Replies
1K Views
*#1111# S/W Version *#1234# Firmware Version *#2222# H/W Version *#8999*8376263# All Versions Together *#8999*8378# Test Menu *#4777*8665# GPSR Tool *#8999*523# LCD Brightness *#8999*377# Error...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Niaje wanaJF, naomba ushauri wa kina nifanyaje hii website niliotengeneza kwaajiri ya wafanyakazi wanaobadilishana shida inakuja niongeze nin au nipunguze nn au nifanyaje ili niwezekuwashawishi...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Je unayo Laptop,Tablet Pc,or Smartphone au vyote? Je unajua ukiwa na smartphone au tablet/Phablet huhitaji tena kununua modem ? Ndiyo,inawezekana. Leo nitaeleza jinsi unavyoweza kufarahia...
3 Reactions
51 Replies
12K Views
Wana Jf, naombeni msaada nime attach hapa word doc kuna maneno nataka kuyaedit yananishinda, naeditije na je ni software gani imetumika kutengeneza hayo maneno. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta desktop yenye not less than core i3 kwa 250,000/=
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Msaada kwa mwenye kujua ntawezaje kudownld apps zenye mb zaidi ya 100 katk simu yangu ya iphone.
0 Reactions
9 Replies
896 Views
Nimekuwa naona post kadhaa humu zikionesha faida wanazopata wenye page za Facebook, Instagram nk kuwa wanapata faida au kunufaika kuyokana na matangazo au viewers wanaotembelea page hizo. Hivyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom