Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji kununua simu nina kiasi cha sh: 200,000 naweza kupata simu ipi nzuri kwa hela hiyo. Mawazo yenu ni muhimu
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wana teknolojia mlioko hapa, Naomba msaada wa dharura. Bosi kanipa link ambayo ni Website version ya PDF, anasema uki-update kule Website pia ita update. Sasa naanzia wapi, je hakupaswa kunipa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nina simu LG g3, nilikuwa safarini nikawa na mapumnziko ya siku 2 mjini Maputo, ambako niliuziwa hiyo simu niliyoitaja hapo juu. Baada ya kuitumia kwa muda wa kama wa mwezi mmoja...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Kama una tatizo lolote na HTC smartphone tujuze tukusaidie
1 Reactions
107 Replies
11K Views
Laptop yangu ya Dell xps inamatatizo ya kutoonyosha inapopata moto na pia feni zke zote mbili hazizunguki kama kabisa yani. NB. Ilikuwa ndani kwa muda mrefu kama miaka 3, kwani ilikosa adapter...
0 Reactions
1 Replies
640 Views
Mtandao wa simu utakaotumia nguzo kupitisha wire zake nchi nzima upo njiani.., hatua ya kwanza ya uzalishaji nguzo ndio upo kwenye maandalizi, zitatumika nguzo za zege. speed yake ya internet...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
Nmkutana na app kama tatu za watsap zoote hizo hazipo play store features zake ziko superb xaaanaaa,nlkuwa naomba wataalamu wansaidie ipi ni bora zaidi ya nyingne Watsap plus Watsap gold Watsap...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu flat screen Tv yangu aina ya LG niliinunua miezi sita iliyopita nikiiqasaha inaniandikia "NOT PROGRAMMED" jamani tatizo linaweza ikawa nn?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu uwa natumia decoder ya azam kuangalia video kama nyimbo na movie kupitia memory card yangu,lakin cha kushangaza nikiwa naangalia movie uwa zikifika kati zinagoma kuendelea kuplay,lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kujua sehemu wanapotoa kozi nzuri ya computer maintenance kwa dar es salaam. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Waungwana samahani anaejua wapi naweza kuipata hii kickass torrent app ya kudownload movie anisaidie
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mswaki wa dola 400 za kimarekani utakaokusafisha wakati huo huo ukiwa unakupa video za moja kwa moja (LIVE) za kinywani mwako kupitia simu yako. Kampuni ya Onvi inayotengeneza miswaki ya umeme...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili,langu ni moja tu naombeni msaada wa kuswitch 2g kwenye huawei tajwa hapo juu. Nawasilisha Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wadau salaam, Nipo hapa natuma attachments kwenye e mail nikisend napata ujumbe huu "To prevent abuse, your message cannot be sent now. If the message contains only a link, please add some text...
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Habarini, Camera yangu Powershot A2500 inasumbua lens haifunguki. Ukiiwasha inawaka na kujizima, nimejaribu kufuata yser manual ku-troubleshoot lakini nimeshindwa kabisa kuirekebisha. Powershot...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Je ni namna gani waweza kupata app za Mac kwenye Android phone. Mfano Itune. Kwa anaejua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau naomba msaada wa lisence key ya window 8.1 pro. maana product key yangu 00178-10140-00000-AA515 inaexpire July 5.. natanguliza shukrani @chiefmkwawa na wengineo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naamini mpo wazima, nahitaji msaada wenu kwa tatizo la simu yangu huawei y300 ambayo nilii-root. Baada yya rooting imekuwa na Tabia ya kuinstall uc mini bila ridhaa yangu na kila nikipitia...
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Nimekuta inauzwa SH. 6,300,000 Naomba msaada kwa wajuzi what is so special katika hii Computer
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom