Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari zenu wana jamii forums. Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono. >Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia. >Awe...
0 Reactions
116 Replies
10K Views
Jana nimekutana na demu wangu ambaye nilifanya nae matusi mara moja, mwezi wa saba, mwaka jana Ni demu mkali mno, ni mhudumu wa hoteli maarufu hapa town. Kwa sababu nilikua najali maisha yangu...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wana JF, Mimi ni msichana ambaye nimeanza mahusiano muda mrefu kidogo,ila tatizo nalopata kwa mwenza wangu ni kwamba anachelewa kufika kileleni kiukweli nainjoy round ya kwanza lakini...
0 Reactions
27 Replies
12K Views
kuna mkaka mmoja alimtogoza dada mmoja mwaka mmoja na nusu uliopita lkn huyo dada akamkatalia kistaarabu tu,sasa pamoja na muda mrefu kuwa umepita lkn huyo kaka kila siku anampigia huyu dada simu...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Jamani eeh, huyu dada anaomba msaada wenu; amelikoroga! ***************************************************** Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 32. Nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi zaidi ya...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi. Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau" Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya...
0 Reactions
78 Replies
8K Views
UONGOZI wa Kanisa la Evangelistic Assembles Of God Tanzania Jimbo la Dodoma, limemsimamisha na kumfutia leseni ya huduma ya kiroho nchini mchungaji wake kutokana na kupatikana na hatia ya uzinzi...
0 Reactions
82 Replies
11K Views
Kwa wale ambao wako kwenye ndoa au mahusiano, kuna wakati mwenzi wako anakusimulia kuwa mtu fulani (ama unamfahamu au la) amemchokoza kwa kutaka wawe na mahusiano ya kimapenzi (amemtongoza). Kuna...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
BBC presenter died 'as sex game went wrong': Colleague weeps as he lays a floral tribute Last updated at 10:31 PM on 02nd March 2010 'Lovely guy': Kristian Digby at his home A...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Mjomba Hana Lolote Nina sehemu ya kuishi kwenye mwili, wakati mwingine naishi kwenye hotel inayoitwa damu; kila mmoja ananijua mimi ndiyo naitwa Kirusi mtoto wa UKIMWI, na nilizaliwa kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa Leo hii nimekuja kutoa Mawazo yangu kidogo jinsi ya kuokoa ndoa za watanzania,,, leo hii ndoa si kama wazee wetu walivyokuwa wakipendana kutoka moyoni,.... ndo zao leo hii zimejaa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
if you could only read her mind, she would say... buy me a rose call me from work open the door for me, what would it hurt? show me you love me by the look in your eyes these are the little...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
Jamani nimepita sehemu nikaulizwa hili swali na sababu sina experience nalo nikaona nililete hapa kweza kupata msaaada wale wanaume wanaotembelewa wanaitwa mashoga je wale wanaume wanaowatembelea...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Stop sexualising children, says David Cameron Conservative leader David Cameron has called for an end to the "inappropriate sexualisation" of children. Parents should be able to complain via...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amini Uwezo Wake tu! Kama kunyesha mvua siku ya harusi yako ni baraka basi hawa maharusi kutakuwa kulikuwa na mafuriko maana maharusi wanafanana, huwa sichoki kutazama hii picha. Watafiti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hivi kuchora tatoo sehemu za siri ni ujanja ama kuiga utamaduni wa wenzetu,na mtu anasikia raha gani kufanya hivyo tena karibu na goli kabisa...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Jamani wana jamvi asa mbona sisikii besdei za wana Jamvi tena wakati nikiingia nilikuta watu mnajiandaa kukata keki ya besdei ya Festiledi1 Kulikoni zimekwisha? ama? Makoo yamekauka yanahitaji...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Maharusi wengi (Bi au Bw) huwa wanagundua wamechemka siku ya harusi yao. Mzee mzima unaweza ukakiona kitu kikali , mguu mguu, shingo shingo, mgongo mgongo,,,dimpo dimpoz,,,,,,na ukaanza...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nipo kwenye daladala, naitazama saa ni saa 6 mchana, siku ya jumamozi wiki iliyopita yaani juzi tu. Nimekosa kiti nawajibika kusimama. Tupo abiria kadhaa mbao tumesimama kiasi ambacho tumebanana...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom