Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

...Hivi, ...ni KWANINI baada ya kuachana na mtu "wengi" hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye? kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Katika baadhi ya mijadala nimeshawishika kuamini kuwa watu wengi kwenye mahusiano wana mapungufu ya jinsi ya kuwasiliana. Kwa hiyo kuna ulazima wa kuwa na kungwi au wataalamu wa kutusaidia katika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Kuna rafiki yangu mmoja, analalamika na kuhuzunika kuwa mume wake bado anamiliki picha,maua,kadi na hata mashairi ya mapenzi aliyokuwa akitumiwa na mpenzi wake wa zamani.Huyu binti yuko kwenye...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Heart Touching Inspirational Story "whom to blame" Must Read for All... A Boy was born to a couple after eleven years of marriage. They were a loving couple and the boy was the gem of their...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hiii kitu tunaipenda sana, kwa wenye ndoa na wasio na ndoa. Je wewe unahimili kukaa muda gani bila kupata ile kitu roho inapenda?
0 Reactions
203 Replies
19K Views
Kina mama naomba niwaulize swali leo hii, Hivi kwanini mnapenda manung'uniko na kulalama sana? yaani mtu kufumba na kufumbua anakuanzishia soo bure bure tu... Mnatufanyisha wengine tuone hivi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hebu soma hii, Jamaa mmoja alikuwa akitokea shamba pamoja na mkewe. Wakiwa njiani waliona uyoga, wakaung'oa na kwenda nao nyumbani kwa lengo la kwenda kupika na kuula. Lakini kabla ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika pita pita yangu kwenye mablog mbali mbali nikakuta hii kitu, nikaone niitupie hapa jamvini watau watoe ushauri! Boss alivyonipa kazi na kunitoa bikra ya tigo, sasa nateseka nisaidieni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika suala zima la kupambana na UKIMWI, kitu ambacho kimeendelea kuleta utata na mtafaruku mkubwa katika familia, ndoa na mahusiano mengi ni suala la kupima na kujua hali ya mhusika kama amepata...
0 Reactions
184 Replies
14K Views
My take on this: Knowledge is power, wamama kabla ya kuwatoa watoto wenu jaribuni kuomba ushauri wa kisheria. Kuna mashirika kama TAWLA wanatoa ushauri bureee! Pole sana mama Mbukwa. False...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rafiki yangu kaniomba ushauri, juzi alitubu mbele ya mkewe na kuamua kuwa mkweli kuwa nje ya ndoa amezaa mtoto wa kiume akiwa ndani ya ndoa akamsihi mkewe amsamehe,mke alimsamehe wakakubaliana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kila mmoja anaweza kuwa maoni yake juu ya wivu, lakini naamni mtakubaliana nami kwamba, wivu katika mapenzi ni jambo lisilokwepeka hasa kwa sababu kubwa ya kuaminika inaonesha penzi lako la dhati...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna uvumi/usemi kuwa ukiwa na Doto kama mpenzi wako mwisho wa safari kulwa nae utatembea nae, kwa utalaamu wenu na ozoefu wenu mnasemaje wana JF?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Najua umekaa mkao wa kula kutaka kujua leo nimekuja na mada gani kuhusiana na kona yetu ya mahaba. Leo nataka kuongelea tabia mbaya za baadhi ya wanawake wanaotanguliza maslahi mbele kuliko upendo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hadi natangazaa kusitisha maombi ijumaa 12.38 PM, nilikuwa nimeishapata waombaji 19, na wengine wane walituma maombi yao baada ya kufunga kupokea maombi, hivyo Jumla ya Waaombaji=23. kati yao...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
Nazungumzia pete ya uchumba. Mchumba wako akitaka akusapraizi na pete siku flani, utapenda iwe kubwa au ndogo? Yaani uzito au mwonekano, sio ule ukubwa wa kulegea kidoleni au kubana sana, najua si...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Nanukuu "Nilikutana nae kwa mshikaji, kaniambia walikuwa wanasoma pamoja nikakutana nae mtaani, nikamnunulia msosi, tukabadilisha namba tukaanza kuchati, mambo ya message usiku kucha...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Same-sex marriage becomes legal in D.C. March 3, 2010 | 7:24 am Same-sex couples can start applying for marriage licenses in Washington. At least 16 couples were waiting at a courthouse...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna wakati inafika wanandoa hawaridhishani, hasa mke haridhishwi. Nazungumzia kwa wale wanandoa ambao mume umri umeenda na utendaji umedrop sana. Bao moja jogoo haamki tena! Utakuta mke bado...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Tumsaidieni huyu dada jamani.... Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye...
0 Reactions
100 Replies
14K Views
Back
Top Bottom