"Most people don't think twice about insuring their home or car or things that are valuable. They don't think twice about installing security measures like screens and alarms. But what about...
By pink_warrior32 on Monday, April 26, 2010 - 1:56 am:
Now this question is not from broken heart as far as a lover, it's more of how do u mend it from a lost family member or friend...
Today is...
brodaz n sistoz nasikitika kuwa nitapotea kwa muda hapa home!
kwa kuwa nawalove nimeona si vyema kutoweka tu bila kuwapatia taarifa!
nitakuwa ktk mazingira ambayo ambayo sitapata wasaa wa kuwa...
Jamaa kaenda kwa mpenzi wake, amefika katuta kufuli mlangoni, kaamua kumpigia mpenzi wake.
jamaa: hi cwty mambo?
Demu: pouwa my luv
Jamaa: uko wapi mamy
Demu: niko home nimelala
Jamaa: vipi...
There are three (3) types of women according to men's perspective.
1. HOUSEWIVES
Advantages
* She stays home and takes care of kids and household chores.
* She is always good in bed because she...
Lovers should quit when their passion is at its peak, not wait until its inevitable decline. Haya maneno si mepesi. Kuna raha na ushujaa ndani yake. Si ktk mapenzi tu. Bob alikufa na umaarufu...
Rafiki wa kiume,
umri kuanzia 18 na zaidi,
Ajue kusoma na kuandika,
wasifu wangu,
mwanamke mrebo,
nina miaka 44,
najua kusoma na kuandika,
tuwasiliane niaje4u@gmail.com
Ladies please handle them with care.
Wapendeni, watiini, wafanyeni waonekane spesho.
Muonyeshe mwanaome wako jinsi unavyomuonea fahari.
Mjulishe kuwa wewe ni mwanamke mwenye bahati kwa kumpata...
Ndugu mpendwa.. hebu tuangalie kivutio/kichocheo kimojawapo cha mapenzi ambacho twaweza kukitumia kuweka ladha katika maisha yetu ya kimapenzi - MUSIC.
Umeshawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani...
Wazo zuri
nimeona ndoa nyingi kuna hali ya kuogopana kuogeshana na leo
hii nimeona niwwaletee hii mada ya matatizo yake
kuna watuwengi wanakuwa wakijikuna kwenye ukuta ama wa nyumbani ama...
Mimi nafikiri wakati mwingine ni bora
kila mtu kabla hujaanza kuingia kwenye mapenzi
na mtu ni bora kujua kwamba,
masuala ya kugombana na kupata maudhi kwenye mapenzi
ni mambo ya...
Kuna kitu kinanichanganya sana, hakinihusu mimi lakini kinawahusu watu muhimu sana kwangu, nina marafiki wawili, na ni wamama wenye familia zao na nimajirani zangu, ss mmoja kati yako anatembea...
Jamani mimi sielewi nimpeje mwenza wangu alizike kwa kawaida kiafya mapenzi yafanywe mara ngapi kwa wik maana naskia kukinai mapema hapa nilipo nipo hoi najikanda maji moto kila siku ndo nafuu...
Mke na mume waliobarikiwa kuwa na mtoto mmoja mdogo walipendana sana na daima walitaka kudhihirisha upendo wao kwa watu ikiwa ni pamoja na kushikana mikono, kuitana majina matamu kama "honey...
Ndugu zanguni kila nkifikiria maswahili haya nahisi kienglisenglish rupu
embu mwenye kutusaidia maana siku hizi hzi talaka zinagawiwa mahakamani
kama juice za sayona akuna tena ati miaka miwili na...
Mkufunzi mmoja ambaye ni nguli wa kuwafunda akina dada wakati wa Kitchen Party amewataka akina dada ambao wanakwenda kuolewa kufahamu vizuri jinsi ya kuutumia mwiko wa kupikia kwenye chungu ili...
Kwa mara nyingine tena
Napenda kuwatakia heri wana ndoa wote wanaoatarajia
kuona siku ya kesho kwa niaba ya familia yangu nawatakia
maisha mema ndoa yenye furaha kama yangu baraka za wattoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.