Juzi nilipokuwa na mke wangu baada ya chakula cha usiku, aliniambia
nimwandikie nyumba yangu kwa jina lake, na hii nyumba ninayo kabla hatujafunga
ndoa, nikamuuliza kwani kuna tatizo gani...
My wife & I have been married for a couple of years. My wife has some complaints and says she has fallen out of love with me, so she wants to end our marriage. She said that God told her to end...
Baada ya Kujifungua....
MAMBO YA KUZINGATIA MWANAMKE BAADA YA KUJIFUNGUA MTOTO
Wanawake wengi huwa katika wakati mgumu kufahamu ni line wanaweza kurudi kwenye maisha ya kuendelea na tendo la...
Unatafuta ndoa safi asilimia 100? HaipoDISMAS, LYASSA
HIVI karibuni nilitembelea mikoa ya Arusha, baadaye Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine nilikutana na baadhi ya watu na kuzungumza kuhusu...
By Vitalis Kimutai
An increasing number of older women are seeking higher education, but it comes with a price: Their maids are taking over their homes and their husbands.
The number of married...
KATIKA hali isiyo ya kawaida mtandao huu ulishuhudia mwanamke mmoja akilia kwa machungu baada ya kushuhudia mwanandoa wake akibebwa na moja ya mashangingi ya mtaa huo.
Dada huyo alikadiria kuwa...
i miss everybody here,
i really miss wapwaaz(ORIGINAL NA CHIPOLOPOLO)
i really miss my strong pillers
i really wish to turn back the hands of time AND GO BACK TO THE ORIGINAL JF
i really wish to...
Monday, May 03, 2010 10:09 AM
KATIKA hali isiyo ya kawaida mtandao huu ulishuhudia mwanamke mmoja akilia kwa machungu baada ya kushuhudia mwanandoa wake akibebwa na...
Sambusa ni tamu bwana,
Nyingine hakuna tena,
Wa kijiji ninanena,
Vingine sijaviona! - sambusa ni tamu bwana, hasa zisizofanana!
Ukishaonja sambusa,
Vitumbua utasusa
Na utatumia mapesa,
Uje upate...
ghafla tu mwenzako unaeishi nae ndani anaweka pin code kwenye simu ni inakua nini maamuzi,uoga au ni kutaka privacy maana nashindwa kuelewa na hiyo pincode hampi mwenzie hivi inawezekana kweli kwa...
Wadau ngoja niseme tu leo...maana wahenga walisema mficha maradhi.....yatamuumbua....Kuna ka-experience flani kanamtatiza mdau kunako malavi-davi (ashkum si matusi) ni kwamba katika maandalizi ya...
TRANSSEXUALISM
Leo tuangalie maradhi mengine yaitwayo Transsexualism. Mwenye maradhi haya anaitwa Transsexual (inasomwa Trans - sekshual). Mgonjwa huyu huwa na tamaa ya kuwa na jinsia...
1.MSIMAMIZI WA NDOA LAZIMA AWE KIJANA ASIEOA/KUOLEWA ILI HARUSI IPENDEZE
2.WASIMAMIZI LAZIMA WAWE WABAYA SANA WASURA KULIKO MAARUSI ILI MAARUSI WAPENDEZE
3.LAZIMA WADHAMINI WAWE KWENYE NDOA ILI...
WanaJF napenda kuwataarifu kuwa ile tarehe ya mwanzo ya harusi yangu imesogezwa hadi tar 17/07 kutokana na kuingiliana na kikao kikubwa cha wachungaji pale Tanga.Maandalizi mengine yanaendela kama...
Jana ktk EATV "Strictly Kenyan" kulikuwa na mada kuhusu wanawake wa Kenya kuanza kwa kasi ya ajabu kutongoza wanaume. Wahojiwa walikuwa wanaume na wanawake; na wote waliliona kuwa ni jambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.