The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Mimi nafikiri wakati mwingine ni bora
kila mtu kabla hujaanza kuingia kwenye mapenzi
na mtu ni bora kujua kwamba,
masuala ya kugombana na kupata maudhi kwenye mapenzi
ni mambo ya kutegemea na kutarajia......kilicho cha maana
ni wewe mwenyewe kujifunza namna ya ku deal na ugomvi
na maudhi yanayokuja na mapenzi.....it is part of any relationship.....
Sasa basi cha kushangaza ni kuwa wapo watu wakiwa na ugomvi
kidogo na wapenzi wao ni aibu tupu......
Yaaani aibu mpaka kwa majirani au wapita njia.........
Wengine ugomvi mpaka watu wanajaa kuwasikiliza na ukikuta
yanayozungumzwa ni aibu ,aibu aibu........
Pamoja na yote mimi naamini mwanaume ukiwa na msimamo na unajua
kum handle mwenzio tangu mwanzo mambo mengi yasio faa yanaweza ku epukwa.....
Hivi ni lazima watu wazima mfokeane mbele ya watoto????
Au ugomvi mpaka majirani wanakuja kuwaamua??????
Utakuta mtu anajaribu kumtukana mpenzi wake mbele ya watu as if
na yeye hajitukani kwa ujinga wake.....
Mimi huwa naona watu kama mmechokana ni bora kuachana kwa heri bila ugomvi
na sio unakuta watu wazima,shule wameenda,pesa wanayo lakini
ikifika jioni ni ugomvi,ugomvi mpaka wapita njia wanasimama kufaidi sinema ya bure...
Ni kweli wanawake wana maudhi sana.but mwanaume ukiwa mstaarabu
matatizo mengine yanaepukika........
Tusisahau nobody is perfect...........................................
kila mtu kabla hujaanza kuingia kwenye mapenzi
na mtu ni bora kujua kwamba,
masuala ya kugombana na kupata maudhi kwenye mapenzi
ni mambo ya kutegemea na kutarajia......kilicho cha maana
ni wewe mwenyewe kujifunza namna ya ku deal na ugomvi
na maudhi yanayokuja na mapenzi.....it is part of any relationship.....
Sasa basi cha kushangaza ni kuwa wapo watu wakiwa na ugomvi
kidogo na wapenzi wao ni aibu tupu......
Yaaani aibu mpaka kwa majirani au wapita njia.........
Wengine ugomvi mpaka watu wanajaa kuwasikiliza na ukikuta
yanayozungumzwa ni aibu ,aibu aibu........
Pamoja na yote mimi naamini mwanaume ukiwa na msimamo na unajua
kum handle mwenzio tangu mwanzo mambo mengi yasio faa yanaweza ku epukwa.....
Hivi ni lazima watu wazima mfokeane mbele ya watoto????
Au ugomvi mpaka majirani wanakuja kuwaamua??????
Utakuta mtu anajaribu kumtukana mpenzi wake mbele ya watu as if
na yeye hajitukani kwa ujinga wake.....
Mimi huwa naona watu kama mmechokana ni bora kuachana kwa heri bila ugomvi
na sio unakuta watu wazima,shule wameenda,pesa wanayo lakini
ikifika jioni ni ugomvi,ugomvi mpaka wapita njia wanasimama kufaidi sinema ya bure...
Ni kweli wanawake wana maudhi sana.but mwanaume ukiwa mstaarabu
matatizo mengine yanaepukika........
Tusisahau nobody is perfect...........................................