Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wazo zuri
nimeona ndoa nyingi kuna hali ya kuogopana kuogeshana na leo
hii nimeona niwwaletee hii mada ya matatizo yake
kuna watuwengi wanakuwa wakijikuna kwenye ukuta ama wa nyumbani ama
maofisini uchunguzi unaonyesha tatizo la kutosuguana mgongoni limeleta
wanandoa kuwa na uchafu mwingi sana mgongoni kuna watu wana miaka zaidi ya kumi
awajawahi kusuguliwa mgongoni mgongo kama sehemu nyingine yaitaji kusuguliwa jamani
hivyo mkiwa kama wanandoa usikubali mumeo ama mkeo kuanza kuwashwa washwa ovyo mgongoni ogen pamoja suguaneni mkiweza malizanneni ruksa mmehalalishwa
nawatakieni ndoa zenye furaha zisizo na aibu
nimeona ndoa nyingi kuna hali ya kuogopana kuogeshana na leo
hii nimeona niwwaletee hii mada ya matatizo yake
kuna watuwengi wanakuwa wakijikuna kwenye ukuta ama wa nyumbani ama
maofisini uchunguzi unaonyesha tatizo la kutosuguana mgongoni limeleta
wanandoa kuwa na uchafu mwingi sana mgongoni kuna watu wana miaka zaidi ya kumi
awajawahi kusuguliwa mgongoni mgongo kama sehemu nyingine yaitaji kusuguliwa jamani
hivyo mkiwa kama wanandoa usikubali mumeo ama mkeo kuanza kuwashwa washwa ovyo mgongoni ogen pamoja suguaneni mkiweza malizanneni ruksa mmehalalishwa
nawatakieni ndoa zenye furaha zisizo na aibu