Namtafuta

niaje

New Member
Apr 19, 2010
2
0
Rafiki wa kiume,
umri kuanzia 18 na zaidi,
Ajue kusoma na kuandika,

wasifu wangu,
mwanamke mrebo,
nina miaka 44,
najua kusoma na kuandika,
tuwasiliane niaje4u@gmail.com
 
Miaka 44 unataka kijana wa miaka 18 na kuendelea mmh angalia usije ukatafuta tena baada ya siku kadhaa..
 
Sasa hivi, ngoja niingie kwene PM yangu.M2 mzima huyu kashamaliza makuzi.ukimwambia huna hela anakuelewa, co hvi vitoto kitaa.Visumbufuu!!
 
miaka 44 anataka mvulana kuanzia miaka 18.........................kweli mapenzi hayachagui umri,kabira wala rangi ila jamani tuangalie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kweli maoni ya watu...duh wanataka ku-fall in love with pockets

Kwenye hoja,Nakutakia kila la Heri dada,kuwa makini tu ktk huu mchakato maanake.......
 
Kipato chako please !!!!!!!!!!!!!!,kikifahamika itakuwa ulimbo tosha kwa vijana.

hapo umesema!! the only thing kitakachomvutia mvulana wa kuanzia miaka 18 kwa mmama wa miaka 44 ni kipato.
wamama wengine hawakuiii! miaka 44 unatafuta mchuchu? tena kwenye forum!
 
miaka 44 anataka mvulana kuanzia miaka 18.........................kweli mapenzi hayachagui umri,kabira wala rangi ila jamani tuangalie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani kasema anataka RAFIKI - A Friend, not a Lover. Please...... marafiki wana nafasi yake, tofauti na lovers. Good Luck Madam, kuna marafiki na wanafiki.
 
Kweli maoni ya watu...duh wanataka ku-fall in love with pockets

Kwenye hoja,Nakutakia kila la Heri dada,kuwa makini tu ktk huu mchakato maanake.......
Hapendwi mtu wewe,
Vp Rombo unaenda lini?
 
siku hizi nadhani na swing both ways!...:confused3:

mie nitakuandikia ila mie ni mdada...
 
miaka 44 anataka mvulana kuanzia miaka 18.........................kweli mapenzi hayachagui umri,kabira wala rangi ila jamani tuangalie!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwani Serengeti si watu!? Na wao wanastahili kupendwa ati! kama Serengeti hajui shughuli mama anamfundisha mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom