Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mila na desturi zetu zinatufundisha au kutuelekeza kwamba jinsia zetu zinasema pia kuhusu thamani zetu. Tumeambiwa na kwa kiasi kikubwa tunaamini kwamba wanawake ni dhaifu kwa wanaume. Neno...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani huu mwimbo nimeupenda sana una mafundisho flani juu ya mapenzi embu sikilizeni na nyie Lady Jay Dee Ft: Mr. Blue - Wangu (www.bongostarlink.com) - YouTube
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natanguliza mblele shukrani zangu za dhati kwenu wanajamvi.... Mwanzo nilianza hivi; Naomba msaada wa utaratibu katika kuomba uchumba kwa wachaga wa kibosho,. Ikafata hii; Naombeni msaada katika...
10 Reactions
45 Replies
4K Views
Kijana wangu wa karibu kaniomba ushauri.Yeye anaishi Dar na kapata mpenzi anayeishi na kufanya kazi Mtwara. Anasema anampenda sana na Inshallah wakijaliwa angependa amuoe.Tatizo nii hii distance...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Kila mtu ana kumbukumbu ya mahali au mazingira yaliyomkutanisha na mwandani/honey/mahabuba/mpenzi n.k wake wa sasa., mfano mie nakumbuka kilichotuunganisha ni "madesa" kwa wale waliopitia...
0 Reactions
120 Replies
15K Views
Kama kubaka ni hali ya mwanaume au mwanamke kulazimisha kufanya tendo la ndoa bila hiyari ya mwingine, basi wanawake wengi sana walioko kwenye ndoa hubakwa na waume zao kila siku. Kubakwa huku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tabia ya wewe unapokua faragha na mwenzi wako.. either mmepumzika chumbani....mmetoka out. may be fo lunch... au matembezi tu ya kawaida.. Alafu wewe watumia muda huo kuanza leta habari za Bosi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimpe? Je, ni muhimu wanandoa kusalimiana mnapoamka asubuhi?Kwanza fahamu kwamba wanandoa wanapokaa muda mrefu baadhi ya vitu huanza kuchakaa kimapenzi. Hata hivyo upendo na wema husaidia...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Sunday, August 21, 2011Usijaribu! SWALI:Hello mimi ni dada ninayeishi Iringa nina umri wa miaka 18 kwa bahati mbaya mpenzi wangu amenipa mimba na kutokana namna alivyo baba yangu Naamini...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Wapendwa wana Jamii Forum naombeni msaada wenu kuhusu huyu baba yangu mzazi. Kwa kifupi mimi ni mtoto wa nje ya ndoa ninatambulika kwenye familia na kwenye ukoo ninashirikishwa kwenye kila kitu...
2 Reactions
72 Replies
7K Views
Ayubu alishauriwa na mkewe amkufuru Mungu Ayubu akakataa. Ayubu akajazwa mali mara dufu. Lutu alishauriwa na mkewe ageuke nyuma aangalie Sodoma na Gomora, Lutu akakataa mkewe akageuzwa kuwa jiwe...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Usijidanganye! Sex ni issue inayosumbua sana wanaume na wanawake katika ndoa.Mwanamke katika ndoa huhitaji intimacy & affection ili ajihusishe na tendo la ndoa wakati mwanaume anahitaji tendo la...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hamjambo wana jamvi. Mwenzenu namwachia mama mkwe nyumba aishi na mwanae. Ni wiki ya 3 haongei na mimi anapika kwake. Kibaya alichemsha mitishamba ninywe na house girl hakutoa maelezo tukagoma...
3 Reactions
82 Replies
10K Views
  • Closed
Wapwaz na Binamuzi wote. Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya...
8 Reactions
190 Replies
14K Views
Ukweli wao! Mshauri maarufu wa masuala ya ndoa M. Gary Neuman alifanya Utafiti kwa kuwauliza wanaume 200 ambao kati yao walishachepuka nje ya ndoa zao na wengine walikuwa hawajawahi kuchepuka...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani majumbani kuna vituko msione watu wanapita wanacheka mkaona moyoni ni hivyihivyo.!! Rafiki yangu mpendwa ambaye anahali ya ulokole fulani hivi kapewa Live na Mkewe kuwa inabidi wasitishe...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Leo nimepigiwa simu na kaka yangu. Mazungumzo yetu yalikuwa kama hivi: Bro: Hello… Mambo vipi? Mimi: Poa tu Bro: Hapo nyumbani hawajambo? Mimi: Tunamshukuru Mungu sisi wazima Bro: Mnaendeleaje...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Natumaini hamjambo wote ... Wanaume sana sana Vijana naombeni sana jamani muanze kuvuta suruali zenu juu au kama mmeamua kulegeza au kuto kufunga mikanda vaeni Boxes , sagz au Briefs.. ...
12 Reactions
131 Replies
12K Views
WanaJF wenzangu hebu kumbuka zamani zile ndo ilivyokuwa siku ya kwanza kabisa kujisajiri kwenye ulimwengu wa malavidavi ilikuwaje mara baada tu ya kubarehe.Je uliyempa malavidavi hayo kwa mara ya...
0 Reactions
24 Replies
50K Views
Back
Top Bottom