Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Natumaini hamjambo wote ... Wanaume sana sana Vijana naombeni sana jamani muanze kuvuta suruali zenu juu au kama mmeamua kulegeza au kuto kufunga mikanda vaeni Boxes , sagz au Briefs.. ...
12 Reactions
131 Replies
12K Views
WanaJF wenzangu hebu kumbuka zamani zile ndo ilivyokuwa siku ya kwanza kabisa kujisajiri kwenye ulimwengu wa malavidavi ilikuwaje mara baada tu ya kubarehe.Je uliyempa malavidavi hayo kwa mara ya...
0 Reactions
24 Replies
50K Views
Jambo hili linaweza kuwashangaza wengi, kuhusiana na swala zima la kutoka nje ya ndoa. Ni kwamba, kama mwanamke ana hawara, ni rahisi zaidi kwake kufanya tendo la ndoa na hawara huyo wakati akiwa...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
mimi nina mke anawivu mno,siku moja asubuhi nimekwenda kuoga ili niende kazini bosi wangu ambaye ni mwanamke akapiga simu basi mke wangu akapokea simu alivyosikia sauti ya kike wacha amshushie...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Links to this post Wanaume Nao...... Kwa nini wanaume hununua sex?Mwanaume anaondoka na kwenda kumtafuta mwanamke wa kumlipa fedha ili ampe sex bila kuhusisha upendo au mahusiano wala...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Truly, Madly, Deeply: How Love Makes you Sick Cupid's bow can kill your appetite, nuke your focus and interrupt your sleep. By Jennifer Nelson TODAY.com...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama huridhiki mwambie, usilipize.......... Ni miongoni mwa makosa makubwa sana kwenye uhusiano wetu. Hebu fikiria kwamba, mumeo anashiriki tendo na wewe kwa njia ambayo aikuridhishi. Inaweza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hata Ufanyeje! Katika asilimia 100 ya wanaume wanaotoka nje ya ndoa zao, asilimia 12 ya hao wanaume wanao cheat hufanya hivyo kwa sababu ni cheaters, wao hutoka nje ya ndoa zao No matter what...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mabibi na Mabwana! Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari ndiyo hiyo
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Ni binti wa 2nd year ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchin ambae nimekuwa kwnye uhusiano nae kwa miez 8 sasa,nampenda na ananipenda pia. Inshu iko hivi,mama yangu na ndugu zangu hawataki hata...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Igweeeee!! tatizo ni nini, kuna nini wakuu? Suala si lingine nalotaka kulizungumzia ila ni hili la siku zote, NGONO!! Tena Ngono ZEMBE! Jamani elimu ya kutosha tunapata kuhusu UKIMWI na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Uzoefu unaonyesha watu wengi hufumba macho wakati wa kupiga denda na wakati wa kubusiana,kama unabisha jaribu kupiga busu uone kama hautafumba macho,swala ni kwanini naombeni majibu
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences...
1 Reactions
96 Replies
8K Views
Kwamba wanawake wengi ambao wameolewa wanapoamua kutoka nje, hutoka na waume za watu, na sio wanaume ambao hawajaoa. Haifahamiki sana ni kwa nini wanawake walioolewa hutoka nje na wanaume...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani nina hamu ya kutoka na angalau mdada mmoja wapo humu JF hakika atafurahi raha nitakazo mpa. Mwakaribishwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Broke up about a year ago..I av bn lvn like a dead body.. If you cn be n you need to be you are always welcome as long as ma door is open.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Suppose una miaka kama sita ndani ya ndoa, na una watoto pia.....! Mwenzi wako amekuwa na siri kubwa ambayo hajawahi kukushirikisha, nawe pia hujawahi kupata....! It is obvious that people do not...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tangu february nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mzozo wa libya mpaka sasa ambapo vyombo ya kimagharibi vinadai kuwa majeshi tiifu kwa kanali M Ghadaffi yanadhibiti sehemu ndogo ya mji wa Tripol...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom