Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Every person without any exception thirsts for happiness. But he does not know how and where he can attain it. Invariably he searches for it by acquiring wealth, status, position, name, fame, etc...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani wana jf! Kuna uhusiano wowote katika suala zima la kuoa na suala zima la hali ya muoaji ya kiuchumi?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jf! Najua mtakuwa mshawahi kusikia au kuona wanandoa au wapenzi wakiamua kupeana mapumziko kidogo baada ya kuanza kuhisi hali ya kuchokana inayotokana na kushuka kwa hisia za mapenzi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kama kawaida wana jf mimi ni a boy and am lookng 4 a girl to who i will share my views of life spheres!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hi out there, salam salamWote tunajua, ila natia msisitizo na kukumbushana, hata (m)wanawake wanajua sana tu, wanapotembea au kupishana na wanaume au awapite (m)wanaume, huangaliwa kwa nyuma...
0 Reactions
77 Replies
7K Views
Watu wawili wanaopendana na kuishi kila mmoja kivyake ni tofauti sana na watu wanaopendana na kuishi nyumba moja. Wapo ambao hujiuliza inakuwaje wapenzi wawili waliokuwa wanapendana na kuwa na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu ukiangalia harusi za siku hizi nyingi utakuta wasimamizi wa harusi sio mke na mume sasa ukifika wakati wa kufungua mziki unashtukia bestman mkewe huyu hapa kaja kuchukua mumewe na matroni na...
1 Reactions
35 Replies
10K Views
Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!
0 Reactions
35 Replies
3K Views
mapenzi ni kitu kilichopo toka enz, sasa ndugu zanguni....,tuliopo kwenye mapenzi na tuliokuwepo kwenye mapenzi....ulishawah au umewahi kumpenda mtu bila kuweka neno tatizo au neno ila katika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ebu twambiane mwana JF mwenzangu mimi katika swala la mahusiano mimi hupenda vitu hi hapa:- >Demu Bomba ambae nikitoka naye sijihisi kuwa na mapungufu! >Demu muelewa asiyetaka kunitawala mawazo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninavyoelewa kaka yake mama ni mjomba wangu na dada yake baba ni shangazi yangu.swali, mke wa mjomba wangu nimwite nani na mume wa shangazi nimwite nani? kwani jamii zingine wanamwita mkaza...
0 Reactions
0 Replies
14K Views
WanaJF, Ni jambo lililo ndani ya mila nyingi hapa duniani kwa mwanamke ku-acquire surname ya mume wake baada ya kuoelewa. Asili ya jambo hili siifahamu, ila kuna jambo ambalo nimeanza kuliona au...
0 Reactions
88 Replies
13K Views
Waheshimiwa mim mwenzenu sina hisia na jambo la mapenzi kwan walionitenda tayari wanatosha...siju wadau mnasemaje je mpo kama mmau
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu naomba kuwakilisha,kama mwezi umepita mtaa jirani na nnao ishi kilitokea tukio la kusikitishaa kama sio kufedhehesha.kuna jamaa aliamia na mchumba wake kama mienzi miwilii hivi.mwanamke wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Juzi nikiwa nimekaa wa wababa walio kwenye ndo nikawauliza nimagumu gani wanayapata kwenye ndoa? Jibu nililopata lilinikata maini, wanasema ukiwa kwenye ndoa kua mvumilivu na fumba macho coz...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Najisikia kumiss home, najikia kumiss wa-east africa wenzangu. Kuna mwanaJF wa east-Africa yeyote mjini hapa au karibu, walau tu-socialize na kukumbushana ya home kidogo? Kama yupo ani-PM tafazali
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I love loves,and i hope you do too. That is why i love loving you. I fell in love with you for the first time i set my eyes on you, I even risked making a risk of myself. I fell in love...
4 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi. Kuna...
0 Reactions
106 Replies
9K Views
Salaam wana Jf. Hivi ngono ina nini? Mapadr, mashekhe, viongozi wote wa dini zote wanafanya mema yote ila ngono inawashinda, watu wanavumilia kusengenya, wizi, unafiki n.k ila wanashindwa kuacha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Closed
My love figga Fourgive me cause i never meant to hurt you, ni hasira na wivu ndo vilisababisha, nakuomba sana mpenzi wangu unisamehe kwani nimekumiss ile mbaya and it driving me crazy, i cant take...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Back
Top Bottom