Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Warembo wa JF, natafuta mpenzi for a long lasting relationship. Mwenye sifa zifuatazo atapewa kipaumbele: Education: Above form 6 Sura: Awe na sura ya kike Rangi: Mweupe...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna wale ambao hawako tayari kutoka kwenye uhusiano mgumu kwa sababu ya mali. Wanaogopa watagawana mali na wenzao, jambo ambalo hawako tayari kulifanya na mara nyingi hawa ni wanaume. Wapo pia...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
"Baba na mama nashukuruni sana kwa mda wote ambao tumekua pamoja, najua nimewakosea na kuwadhalilisha sana,ila pamoja na kuondoka kwangu naombeni mnisamehe. Nitawakumbuka siku zote ntakazo kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hebu tujiulize je ni kweli dhana ya ndoa ni kufanya mapenzi? Jibu ni siyo kweli hata kidogo. Hebu tujiulize tena baada ya kuoana na kuishi kwenye ndoa kwa muda fulani wake au waume zetu wakapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Believe me if you really want a relationship that would last long usimchunguze sana mpenzi wako hasa kwenye SIMU
8 Reactions
125 Replies
10K Views
Naomba ushauri. Baba yangu ana umri wa miaka 65 ametuzaa watoto 12. mtoto wa mwisho ana miaka 27. Lakini Baba ameamua kuzaa na binti (sio mama yetu au mama zetu) mwenye miaka 28. Jamani huyo mtoto...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenyu jf natumai ni wazima nyote!kama ilivyo ada jf kuna wachambuzi wa mambo zaidi ndio mana nikaamua kuileta hapa! Nimetengana na glfriend mama yake kapata taarifa kuwa nimetengana na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
...Emotional Roller Coaster,...are you enjoying the ride or suffering? emotional rollercoaster Term first used by R&B singer Vivian Green in her 2002 single "Emotional Rollercoaster" from...
9 Reactions
224 Replies
20K Views
Mwanzo.2:24 inasema, "Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio...
15 Reactions
395 Replies
23K Views
Ni kweli???
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za mchana kina kaka /dada /mama/baba Just wanna know y'all opinions! There is a lot of pressure mostly especially Tanzania or african women to get married before they turn 25 age . Is too...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Those in a marriage have you ever asked urselves "why did u get married??" share your answers with us..
1 Reactions
111 Replies
7K Views
Helo jf natafuta marafiki wa kubadishana+nao+mawazo unaweza kunisend+sms kupitia Namba 0763651341+
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Mambo vp ndugu zanguni?hilo swali linasumbua kichwa changu hadi hivi napost...sasa nisaidieni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
eti jamani shemeji yeni anashindana mishahara na mie,got a new job na sasa napata mshahara zaidi yake ila inakuwa ishu kwake!yeye anataka awe ananizidi mshahara always
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Few months ago, I fell in love with a certain young lady. Our love lasted just for three months before I was fired in that relationship. The day the relationship ended is the day that we planned...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Wapendwa marafiki zangu wana jf, naombeni mnijuze haya mambo kwenye mapenzi yanakuaje ni hivi kuna wasichana wana wapenzi wao lakini wana mabuzi cha ajabu wanaweza kuwahendo wote na wapenzi wao...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Hii ni kuwakumbusha tu wale ambao bado wako wanagoogle jamani mke mwema mwenzeni nilikutana na dada mmoja wa exim enzi hizo zijui yuko wapi siku hizi mzuri anaumbo bashasha ilipofika siku ya...
0 Reactions
15 Replies
23K Views
wakuu, Kuna msicha kutoka Bhutan (Asia) nilikutana nae mwaka 2008 chuoni (India) nikiwa mwaka wa pili yeye ndio alikua anaanza wa kwanza. Tulifahamiana kupitia kwa rafiki yangu...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom