Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hi guys!! Hope wote mko pouwaaa!! Nwy leo nlikua naongea na rafiki yangu tukawa tunabishana kuhusu jambo... Ishu yenyewe inahusu watu wanaopata mimba bila kupanga na kuamua kuzaa. Baadhi ya...
11 Reactions
158 Replies
11K Views
Inatokea kwenye ndoa nyingi, ambapo unakuta mume anamjali mama yake kuliko mkewe. Kumjali nina maana kwamba, yuko tayari kupinda haki, kumuumiza mkewe, kumchukia na kumfanyia visa kwa sababu ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nilikuwa na rafiki wa kike(mwalimu) kwa muda wa miezi kama 3 hivi tokea tuanze uhusiano wetu,Wiki 2 zilizo pita alienda kumuona mama yake kijijini,baada ya jufika huko katika maongezi tu ya...
0 Reactions
100 Replies
8K Views
Heshima kwenu wote Great thinkers, let me share with you This 10 traits of the real man, maana kila siku post za malalamiko ya kufanywa ATM, Mara nataka nioe sina kazi, mara nimetegeshewa mimba...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Nipo kwenye daladala narudi nyumbani, ila yamezuka mabishano hapa kati ya akina dada(wanawake) na akina kaka(wanaume), kuwa ni nani apaswae kula paja la kuku iwapo kitoweo hicho kitapatikana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
By Stella Brikey It is Saturday evening and this writer and a friend decide to go out for a beer. We choose the Q-Bar in Msasani, which comes highly recommended for its live music. The...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani wana jf hii nataka kuwamegea washikaji kuna binti nilikutana naye SGD kitambo kidogo nilimpenda sana nilimfaham kwa jina moja 2 la REHEMA lakin ghafla akaondoka kwenda dom nilimtafuta bila...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Salaam wana JF, jamani kuuliza si ujinga ,naomba nifahamishwe hivi yale mafuta ambayo hutumika ktk masaji yanaitwaje.....? na hupatikana maduka yepi.......? je ndio yale yale...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Helo jf tatizo hili linanipa msongo wa mawazo kupita kiasi,Baada ya mama wa ex glfrend wangu kunionyesha kwamba yukoje katika ukorofi sasa arejea na kauli mpya ya maridhiano ili nifunge ndoa na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii nimeisikia DW matangazo ya mchana huko Gabon mwanamke mwenye umri wa miaka21 anadai kutengwa na kunyang'anywa mali za urithi baada ya mme wake kufariki... Mama huyua anasema ana watoto wawili...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakisha staafu hawataki kurudi kijijini, wakipokea mafao yao wanawadanganya mama zetu eti mafao yao yamepelekwa kwa wastaafu wa East African Community. Nyumbani hawaonekani, wanarudi usiku wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pengine ni wengi wangesema shida lakini je shida ngapi zinakufanya mtembee na mamazenu waaliowazaa kisa ni mabosi wenu jamani je mitembea nao wanaweza himili kumaliza shida zenu..??wapo wale...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Pengine nilkuwa nafikiri utan nikiwa naenda kauoga bibie akaniita njoo nikasikia kwenye redio kipindi cha magazeti kwamba kuna gonjwa limezuka linaambukizwa' kwa kunyonyana ndimi na mwisho wake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sijajua kwa nini wanaweka bei kubwa kupima hii dna nimekaa nikaangalia jinsi watu wanavyoisihi hasa kwenye mahusiano na kuamini kuzaa nje ya ndoa ni swala la kawaida kabisa kama mnaishi bila...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanzo nilikutana na "lol" sasa imekuja "mia". Jamani sielewi mwenzenu, ebu anayejua/mwanzilishi afunguke
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wakuu wasalaam! wakuu ninahitaji tution ya chap chap! rafiki yangu kanipa heshima ya kuwa best man wake siku ya harusi inayotarajiwa kufanyika siku ya jumapili! kwa vile issue hii ni muhimu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
watu wengi huwa wanapenda kusema na kuona kwamba ni wsichana/wanawake pekee ndio wenye wapenzi zaidi ya mmoja,na sio kufikilia na wavulana pia wanao wapenzi zaidi ya mmoja.ni kwa nini kwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hivi kama ingelikuwa imetabiriwa Yesu kuzaliwa katika kipindi hiki, kuna bikira ambaye angepatikana kama Mariam alivyopatikana kwa ajili ya kubeba mimba ya Yesu manake kizazi hiki mhhhhhhhh!!!!!!
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Bila kusahau wale walioseviwa kwenye simu""lowbattery""" simu ikiita mkeo anakimbiza simu kwenye charge nae nampa wikiend njema na wale walioshtuka msemo huu nao nawatakia wikiend njema maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bila kusahau wale walioseviwa kwenye simu""lowbattery""" simu ikiita mkeo anakimbiza simu kwenye charge nae nampa wikiend njema na wale walioshtuka msemo huu nao nawatakia wikiend njema maana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom