Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari zenu, kabla ya yote napenda kuwapongeza wana JF wote kwa mchango wenu ambao mmekuwa mnaotoa kupitia humu JF. Mimi tatizo langu kubwa linalonisumbua kifupi tu mi nikijana mwenye umri wa...
0 Reactions
72 Replies
17K Views
Kuna posti nimesoma huku ndani na ikanifanya niandike hii mada...kwa kifupi jamaa alikutana na mwanamke kwa siku moja akamtongoza na mapenzi akapewa...basi amekuja huku ndani anasema huyo mwanamke...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hebu tuchukulie kwamba, umeoa, na ndoa yenu ina miaka 6. Katika ndoa yenu mmebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume ambaye ndio anatimiza miaka 4. katika kipindi chote cha maisha yenu ya ndoa...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Hivi wanaforun watu or most of tazanian TUNAELEWA MAANA YA SHERA NYEUPE SIKU YA HARUSI?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Fikiri zako fikira, ufikiri kila tendo, Fikiri lilo na dhara, ufikiri na Ia pendo, Fikiri lilo tohara, ufikiri na uvundo, Fikiri fikiri tendo, Ia amani na...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Za sahizi wanajamii. Ni siku nyingi sijajiunga nanyi lakini leo ninahitaji msaada wenu wa mawazo. Nina uhusiano wa mapenzi na msichana mmoja toka 2007. Ni muda mrefu sana lakini kinachonishangaza...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Ingekua wewe ungechukua uamuzi gani hapo?
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Ilifika siku ya kusafiri kwenda safari ya mbali kidogo ambapo gari hulazimika kuondoka alfajiri sana....! Ni kwa sababu hiyo nililazimika kuondoka nyumbani jioni nikalale guest karibu na kituo cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani naitaji msaada mkubwa sana, wa mawazo na saikolojia. Mimi nina mke nimezaa nae. Tangu tufunge ndoa ni miaka 4 sasa. yeye yuko Mkoani mimi niko chuoni Dar es Salaam kimasomo elimu ya juu...
1 Reactions
128 Replies
17K Views
Nimewahi kuwa na mpenzii ambaye nilimkuta akiwa bado kigoli katka mahusiano yetu niligundua alikuwa mwongo sana na kila kitu yeye ni mbishi sana ukimkataza kitu atakubali kuacha ila siku hiyo hiyo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu GT! Kweli mambo haya yana wenyewe mie yamenishinda! Naona nifikiri mambo mengine! Mnasemaje?
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Mimi nina gf, ni mzuri na ninampenda sana. Tatizo lake ni kwamba tunapokuwa kwenye stage anaumia sana hasa wakati wa kuanza. Nini chanzo cha tatizo hili na nifanyeje ndg zangu?
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari jukwaa la starehe! Bwana me niko hapa kuwaambia senkyuu kwa maushauri yenu ktk post yangu ya mwisho..in dilema...! Mnaikumbuka? Nimemaliza field salama, matokeo yamekuwa poa, hakuna kijana...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Kutokana na malezi au mazoea au pengine tabia zilizo katika mila na desturi zetu, tumejikuta mara nyingi tukiwafanyia wapenzi, waume au wake zetu tabia ambazo kutokana na mazoea hayo tunadhani au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
One afternoon a husband arrived home with sadnews for his wife... Husband: Wife, I just received a call, mother(mama) passed away. Shall we go to town and get some necessities for the funeral...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina mpwa wangu ni kijana tu ana 40yrs alikuja kuomba msaada wa kwenda kufanyiwa operesheni ya Busha huko Kisarawe nasikia hospitali ile ni wataalam sana wa kupasua mabusha. Tumechangishana na...
0 Reactions
225 Replies
19K Views
mimi nimeoa jirani sana na nyumbani kwetu. tangu nimeoa sijawahi kulala ukweni kwa sababu ni mwendo wa dakika tu kutoka kwetu hadi ukweni. rafiiki yangu anasema kuwa kitendo cha kutolala na mke...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Polisi dodoma imewakamata wanafunzi 8 jinsia tofauti wa chuo cha ustawi wa jamii-dar wakiwa wamelala ktk chumba kimoja ktk nyumba ya kulala wageni Vatican mjini dodoma.Fumanizi hilo lilitokea...
1 Reactions
103 Replies
19K Views
Scramble for men goes to church Published on 04/09/2011 By Sophie Khakasa(The Standard) A pastor’s wife is currently bedridden after getting a thorough beating from her husband. The pastor...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Hello jf nilikuwa na glfriend toka january had hiv sasa lakini nilipolala naye ama 2lipo sex naye sina hamu tena ya kumuona hata sim yake siipokei tena sijui ni nini tatizo naomba wanasaikojia...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Back
Top Bottom