Ni mesikia jini mahaba lanaweza kumwingia mtu bila kuwa kama ametumiwa na mtu kama
tunavyo sikia,flani karushiwa jini.Na pia hilo jini huwa linafanya mapenzi na liliyo mwingia.
Je kama linafanya mapenzi linafanyaje?Na lipo la liume na kike?
Mkuu bado hujajibu swalisasa wewe unalitaka la kiume au la kike?
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
Kwani bendera ina kasoro gani mkuu?hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
kuuliza si ujinga,ni kutaka kuelewa hii kitu maana inaongelewa sana mitaanikwani vipi limekufika? elezea vyote ulivyosikia tuchangie
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
Hizo ni imani. Hakuna jini mahaba wala nini! Kama we ni kicheche usisingizie jini.
Wakuu hivi jini mahaba ni nini na ni ukweli kama inavyo zungumiziwa?
hiyo bendera hapo hata hamu ya kuchaingia inaisha
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us