Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mpaka miaka ya hivi karibuni mambo ya uchumba yalikuwa hayawezi kufanyika bila ya kuwepo wazazi na familia. Mitoko mingi na kualikana ilifanyika majumbani wakiwapo wanafamilia wote. Kujitokeza kwa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
wangu nikiwa nae kwenye mpango mzima wa chakula cha usiku kwa watu wazima, hataki kabisa kuona taa inawaka,..na mm napenda iwake taa kiasi kwamba ninaona kila kitu kwa macho yangu...ishu hii...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Hiki ni kisa cha kweli cha rafiki yangu ila jina la muhusika ndio nimelibadilisha. Naandika kwa masikitiko sana kwa jinsi hali aliyonayo sasa hivi inasikitisha sana nafikiria ila kichwani mwangu...
13 Reactions
157 Replies
10K Views
Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Samahani kama ni muathirika wa hili?? Lakini tupo kwenye research mmejiuliza kwa nini wanaume wanakonda wakiachika
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Najua wazoefuwako wengi ila penzi alina exp jamani vyema kukumbushana sana ..kuna watu wakianza kula lile tunda wanakuwa na furaha sana sana na baada ya tunda wanasahau kupongezana kwa shuguli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuwa nikilitafakari hili na kwa kweli kuna maswali huwa najiuliza ila leo nimeona niwaulize wana MMU. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa nachukizwa sana ninapoona mtu mzima anamtongoza mtoto...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Asilimia nyingi za wanaume wa jamii yetu hawawezi kuwasiliana au kumsaidi mtu wa jinsia tofauti bila kumtongoza,na kwanini tabia hii ipo kwa wavulana tu?na kwa nini ipo ivi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Naandika hii post kwa niaba ya best friend wangu. Kwa kweli yeye hafahamu kama nimemuweka humu, ila kwakuwa alinidokeza nia yake nikaona si vibaya kujaribu na JF. Tafadhali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
Three days. That’s how long it took me to sit down and write this. Every night I spend around 5 hours online trying to run away from this and end up sleeping at 7 am without actually getting the...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Najiuliza, lakini sipati jibu. Kwa nini madume ya ng'ombe yakitoka malishoni hukaa nyuma na majike hukaa mbele? Najiuliza kwa nini simba dume anaitwa King of the Jungle, lakini jike haitwi Queen...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mara nyingi ukimtaka msichana kimahusiano ya kimapenzi huuliza UTANIOA au unataka kunichezea tu? kwa mfano msichana kama huyo ukimwambia ndiyo nitakuoa halafu ukishamaliza mambo yako...
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaachika je msababishaji ni nani??Mume mke?? Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni...
4 Reactions
62 Replies
10K Views
Tatizo hili hufahamika kama Female Infanticide, yaani mauaji ya kukusudia yanayofanywa kwa mtoto wa kike. Achilia mbali kile kitendo cha mtoto kuuawa muda mfupi tu baada ya kuzaliwa, utelekezwaji...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Hv majuzi niliweka tatizo langu jamvini juu ya kupoteza mud ktk tendo la ndoa. Nawashukuru wanajamii ushauri wenu wa umenisaidia na sasa nimeanza kufurah unyumba wangu na kujiona narudi uwanjani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba wacchana 2 ndo wanaochezewa katika mahusiano na kupotezewa mda? maana mara baada ya kutokea mikwaruzano ya hapa na bale na kupelekea kuachana, mara nyingi wasichana hutoa lawama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi tumejadili sana katika jukwaa hili sababu zinazofanya baadhi ya wanaume wawe na 'nyumba ndogo', na baadhu ya wanawake wawe na 'vidumu'... Naomba tugeuze hii sentensi upande wa...
1 Reactions
138 Replies
11K Views
Back
Top Bottom