Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
Three days. That’s how long it took me to sit down and write this. Every night I spend around 5 hours online trying to run away from this and end up sleeping at 7 am without actually getting the...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Najiuliza, lakini sipati jibu. Kwa nini madume ya ng'ombe yakitoka malishoni hukaa nyuma na majike hukaa mbele? Najiuliza kwa nini simba dume anaitwa King of the Jungle, lakini jike haitwi Queen...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mara nyingi ukimtaka msichana kimahusiano ya kimapenzi huuliza UTANIOA au unataka kunichezea tu? kwa mfano msichana kama huyo ukimwambia ndiyo nitakuoa halafu ukishamaliza mambo yako...
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaachika je msababishaji ni nani??Mume mke?? Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni...
4 Reactions
62 Replies
10K Views
Tatizo hili hufahamika kama Female Infanticide, yaani mauaji ya kukusudia yanayofanywa kwa mtoto wa kike. Achilia mbali kile kitendo cha mtoto kuuawa muda mfupi tu baada ya kuzaliwa, utelekezwaji...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Hv majuzi niliweka tatizo langu jamvini juu ya kupoteza mud ktk tendo la ndoa. Nawashukuru wanajamii ushauri wenu wa umenisaidia na sasa nimeanza kufurah unyumba wangu na kujiona narudi uwanjani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba wacchana 2 ndo wanaochezewa katika mahusiano na kupotezewa mda? maana mara baada ya kutokea mikwaruzano ya hapa na bale na kupelekea kuachana, mara nyingi wasichana hutoa lawama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi tumejadili sana katika jukwaa hili sababu zinazofanya baadhi ya wanaume wawe na 'nyumba ndogo', na baadhu ya wanawake wawe na 'vidumu'... Naomba tugeuze hii sentensi upande wa...
1 Reactions
138 Replies
11K Views
Kweli demu wako akikuacha akaolewa alafu tukio hilo alikufahamisha ukakubali aolewe, sasa anarudi anakuambia eti siku hadi siku hawezi kuishi na mme wake kwani anakuhitaji aishi na wewe, akidai...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi huyu (nyamayao) mdada yuko wapi siku hizi maana kusema ukweli kuna kitu kikubwa sana nilichojifunza kwake hasa kuhusu nafasi ya mtu katika mahusiano. Tangu nimsome nyamayao, mabandiko...
12 Reactions
140 Replies
10K Views
nipo katika semina na watu wa AMREF morogoro katika takwimu waliyofanya wametwambia kuwa IRINGA ni mkoa unaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi kwa 14.8% na ikifatiwa na DAR ES SALAAM 8.7%...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
A man breaks into a house to look for money and guns. Inside, he finds couple in bed. He orders the guy out of the bed and ties him to a chair. While tying the home owner's wife to the bed the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
What is up JF? ,ukitaka kuanzisha mahusiano na msichana mkikubaliana tu,tafadhali nipigie,tafadhali niongezee salio na beeping zinakuwa nyingi ina maana wanawake huwa wa2geuza wanaume kama micro...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Hi guys!!! Natumaini wote mu-wazima. Kuna habari nimesoma leo ikanisikitisha sana na ndio haswa iliyonisukuma hata kufikiria kuanzisha hii mada. Kwa ufupi ni kwamba kuna dada wa kiKenya aneishi...
9 Reactions
65 Replies
4K Views
HI wana jamvi ni kipindi kirefu kidogo sana nilikuwa mabali kidogo na ninyi dungu zangu, ila niko safi na pia matumaini na ninyi mpo safi pia tatizo langu linalonofanya niwaze kwa sana ni kuwa...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Nimekuwa naisikia sana hii theory, sasa wajameni kufanya kazi sana kunapunguza uwezo wa kushughulika kwenye yale mambo ya utu uzima? Maana kama ni hivyo mi ntapata tabu maana mpaka sasa niko...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Sio mimi Mtambuzi, bali hata utafiti uliowahi kuripotiwa kwenye jaridala That's Life! ambalo huaminika kwa kuandika habari za wanawake ulithibitisha juu ya jambo hili. Imebainika kwamba, wanawake...
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Back
Top Bottom