yote,ukipenda anayekupenda raha,ukipendwa na usiyempenda tabu,ukipenda usipopendwa tabu.....so,kupenda na kupendwa yote ni mazuri.
Ndio maana mimi Nampenda sana Michelle sijui ntampata lini jamani!
Kote kuna uzuri na ubaya wake, unapopenda usipopendwa kuna madhara makubwa unaweza pata depression mpaka basi, unaweza pendwa na usiyempenda wala kumtamani hapo inakuwa taaabu vilevile na vyote vikiwa viceversa inakuwa raha kwako
Ndio maana mimi Nampenda sana Michelle sijui ntampata lini jamani!
Kote kuna uzuri na ubaya wake, unapopenda usipopendwa kuna madhara makubwa unaweza pata depression mpaka basi, unaweza pendwa na usiyempenda wala kumtamani hapo inakuwa taaabu vilevile na vyote vikiwa viceversa inakuwa raha kwako
wadau naomba tufahamishane kuhusu hili jambo,hivi ni jambo lipi lililozuri kati ya haya KUPENDA au KUPENDWA....???
yote,ukipenda anayekupenda raha,ukipendwa na usiyempenda tabu,ukipenda usipopendwa tabu.....so,kupenda na kupendwa yote ni mazuri.
Eiyer said:Wanadam kwa kujitafuta kaaazi kwelikweli!
yote,ukipenda anayekupenda raha,ukipendwa na usiyempenda tabu,ukipenda usipopendwa tabu.....so,kupenda na kupendwa yote ni mazuri.
wadau naomba tufahamishane kuhusu hili jambo,hivi ni jambo lipi lililozuri kati ya haya KUPENDA au KUPENDWA....???
kupendana ndiyo bomba mkuu.
Ukipenda usipopendwa? Inakuwa nini, mtaro?