Lunyungu ( JF member) is seriously ill ! - UPDATES

JamiiForums

JF Official Account
Nov 9, 2006
6,202
5,012
Ndugu wana JF,

T
unasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.

Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.

Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.

Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.
 
Ndugu wana JF,

T
unasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.

Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.

Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.

Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.

Oh jamani,
Pole sana Lunyungu,
Tutakuombea Mungu atakusaidia utapona.

Pole sana comrade.
 
Get well soon Lunyungu, hope you will have a successful operation
 
Pole sana ndugu yetu Lunyungu, Mungu akutangulie upone haraka.
tutakumiss sana jamvini.
God Bless you.
 
Ndugu wana JF,

T
unasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.

Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.

Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.

Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.
tunashukuru kwa taarifa mkuu wa kaya!
nimekuwa nikijiuliza muda mrefu sana ni kwa nini huyu mtu hapatikani sana...!
MUNGU AKUSAIDIE KAKA!...
nitakupigia very soon
 
Get well soon Lunyungu, wakuu mnaonaje tukiandaa utaratibu wa kumsaidia ndugu yetu, well kwa hali na mali????
 
Tunakuombea upone haraka ndugu yetu. Tunamiss sana michango yako makini.
 
Pole sana Lunyungu, tunakuombea kwa Mungu akuponye haraka...! Nasi tunakumisi sana, lakini hopefully you will get back to the forum with good health...!
 
pole sana lunyungu, tunakuombea kwa mungu akuponye haraka...! Nasi tunakumisi sana, lakini hopefully you will get back to the forum with good health...!
\

pole ndugu yetu jamani maombi hivi hivi kwa nini tusianzishe mchango wa kumsaidia anaenda kula operation haya ndio mapenzi ya dhati binafsi naanza na alfu tano naonmba antumie namba ya mpesa
 
Ndugu wana JF,

Tunasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.

Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.

Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.

Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.

Pole sana kiongozi,

Mungu atakujalia upone na kurejea hali ya afya yako kuwa njema na imara.
 
Pole sana Mkuu tupo pamoja kwa maombi na ushauri katika kipindi hichi unachotuhitaji hasa
 
Luyungu mi binafsi nakutakia kila la kheri upate nafuu ili urejee kwenye uwanja wa mapambano. Get well soon brother.
 
Ndugu wana JF,

Tunasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.

Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.

Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.

Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.

Mwenyezi mungu aliye mwingi wa rehema na upendo amponye mja wake na kumuondoa katika maumivu hayo makali yanayomsumbua .
Tutamuweka katika maombi yetu siku zote na tutakuwa nae katika ugonjwa katika kumfariji mpaka hapo atakaporudi katika afya yake Amen
 
Lunyunyu! MUNGU wa mbinguni, aliyeumba mbingu na nchi akuponye Kiongozi!
Pole sana!
 
Pole sana Ndugu yetu. Kwa uwezo wa muumba utapona tu. Tunazidi kukuombea ndugu yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom