Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Dec 7, 2009 #1 Kuna madhara gani ya kumega/kumegwa kwa kutumia 'mipira' iliyoisha muda wake wa matumizi? m.f expired: June 2008
Kuna madhara gani ya kumega/kumegwa kwa kutumia 'mipira' iliyoisha muda wake wa matumizi? m.f expired: June 2008
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Dec 7, 2009 #2 Mhh hata sijui! unaonaje ukijaribu ukatupa mfano hai??
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Dec 7, 2009 Thread starter #3 Maria Roza said: Mhh hata sijui! unaonaje ukijaribu ukatupa mfano hai?? Click to expand... yaani we unanisakizia, limao!
Maria Roza said: Mhh hata sijui! unaonaje ukijaribu ukatupa mfano hai?? Click to expand... yaani we unanisakizia, limao!
Mopao Josee JF-Expert Member Jul 15, 2009 280 1 Dec 7, 2009 #4 Ni rahisi kupasuka,fungus n.k..............................??
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Dec 7, 2009 #5 Nenda katumie kwa machangu ndo utaona madhara yake!
Mwana va Mutwa JF-Expert Member Jun 9, 2009 459 53 Dec 7, 2009 #6 Maria Roza said: Mhh hata sijui! unaonaje ukijaribu ukatupa mfano hai?? Click to expand... mambo ya kujaribu sumu kwa kuonja hayo
Maria Roza said: Mhh hata sijui! unaonaje ukijaribu ukatupa mfano hai?? Click to expand... mambo ya kujaribu sumu kwa kuonja hayo
Mwana va Mutwa JF-Expert Member Jun 9, 2009 459 53 Dec 7, 2009 #7 Mopao Josee said: Ni rahisi kupasuka,fungus n.k..............................?? Click to expand... nyongeza kidoooooooogo kondomu yaweza kupasuka kutokana na kuvaliwa vibaya,kwa mfano ikivaliwa bila kubana ile chuchu ya mbele ili kutoa hewa.
Mopao Josee said: Ni rahisi kupasuka,fungus n.k..............................?? Click to expand... nyongeza kidoooooooogo kondomu yaweza kupasuka kutokana na kuvaliwa vibaya,kwa mfano ikivaliwa bila kubana ile chuchu ya mbele ili kutoa hewa.