Usafi kipindi cha hedhi yepi mnayokutana nayo

NgomaNzito

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
559
26
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili linanikera mno utakuta wakati mwingine pedi zilizotumia zimetupwa hovyo
Je wewe ushakumbana na hii adha??
 
hilo tatizo la mkeo baba pole!!! usafi tabia ya mtu, huyo wako mchafu tu sasa angetumia vitambaa si angepata fungus
 
Kuhusu hili, sijui tutakusaidiaje, kama bht alivyosema usafi ni kasumba ya mtu. hainiingi akilini mtu kakaa na pedi used kwa week mbili. haya ni matatizo ya mkeo.
 
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili linanikera mno wife utakuta wakati mwingine pedi alizotumia kaziweka kwenye fuko zaidi ya wiki mbili baada ya period.
Wakina mama kuweni wasafi mnatisha
Je wewe ushakumbani na hii adha??


huyo wako kiboko loo, wiki 2 uvundike madamu? sorry mkeo anahitaji elimu juu ya usafi wake kiujumla hajitambui.....
 
mmmmh huyo ana uchafu uliokisiri ... kuna watu utadhani huwa hiyo hali haitokei msafi 24 hours a day x 364
habari ndo hiyo ukiwa mchafu utakimbiwa
 
nyamayao labda kakosea badala ya siku mbili loh sipati picha a day tu hiyo harufu si balaa pole ngomanzito.
 
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili linanikera mno wife utakuta wakati mwingine pedi alizotumia kaziweka kwenye fuko zaidi ya wiki mbili baada ya period.
Wakina mama kuweni wasafi mnatisha
Je wewe ushakumbani na hii adha??
Hapo pa red sijaelewa vizuri unatakasema anayetumia pedi au khanga hatumii maji? au mie ndo kiswahili hakipandi?
 
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili linanikera mno wife utakuta wakati mwingine pedi alizotumia kaziweka kwenye fuko zaidi ya wiki mbili baada ya period.
Wakina mama kuweni wasafi mnatisha
Je wewe ushakumbani na hii adha??

Hiyo red: Umeamua kutuanikia uchafu wa mkeo? Inawezekana hata m.avi ushalishwa wewe. Pole!
Hiyo blue: Watake radhi wanawake wasafi akiwamo wife wangu na wapwa na mabinamu zangu. Haiwezekani uwalinganishe na mke wako mchafu. Ptuuu! Kama mkeo mchafu mtimue!
Hiyo bold: Sijawahi kukumbana na adha hiyo kwa kuwa mke wangu ni msafi sana! Kalaghabaho!

Omba radhi wanawake wewe!
 
Hiyo red: Umeamua kutuanikia uchafu wa mkeo? Inawezekana hata m.avi ushalishwa wewe. Pole!
Hiyo blue: Watake radhi wanawake wasafi akiwamo wife wangu na wapwa na mabinamu zangu. Haiwezekani uwalinganishe na mke wako mchafu. Ptuuu! Kama mkeo mchafu mtimue!
Hiyo bold: Sijawahi kukumbana na adha hiyo kwa kuwa mke wangu ni msafi sana! Kalaghabaho!

Omba radhi wanawake wewe!
he he he he!amesahau kwamba mama ake ni mwanamke!WTF
 
Hiyo red: Umeamua kutuanikia uchafu wa mkeo? Inawezekana hata m.avi ushalishwa wewe. Pole!
Hiyo blue: Watake radhi wanawake wasafi akiwamo wife wangu na wapwa na mabinamu zangu. Haiwezekani uwalinganishe na mke wako mchafu. Ptuuu! Kama mkeo mchafu mtimue!
Hiyo bold: Sijawahi kukumbana na adha hiyo kwa kuwa mke wangu ni msafi sana! Kalaghabaho!

Omba radhi wanawake wewe!

Siombi radhi kwani we hujakutana na mapedi yamezagaa mtaani
 
hii njemba haikufikiri kabla kuandika. haki yake kurembewa mawe na hawa kinamama wenye msimamo mkali. funguliaa mbwa!!! deh deh deh . jf rahaa bana. nimejiunga juzi tu nshaanza kunenepa. waif pleaz nipatie juice ya kahawa (sauti nyembamba kutoka chumbani inajibu, nakuletea sweety!!) .
 
Siombi radhi kwani we hujakutana na mapedi yamezagaa mtaani

Kama mkeo ameyatupa barabarani ntaachaje kukutana nayo? Mwambie mkeo aache tabia mbaya! Omba radhi kwa sababu umewajenerolaizi wanawake wote. Umesahau kuna wanawake wasafi kama mke wangu, dada yangu, mama yangu na wapwa na mabinamu zangu.

Kwa mara ya pili OMBA RADHI! Kalaghabaho! Am counting 8....7....6....
 
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.

Hapa hakuna isssue cha msing awe safi.

Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.

Nadhani hapa kuna tatizo genuine hasa sehemu za public kama hostel au mabweni ya wasichana. Kuna jamaa mmoja SUA aliwahi kufanya utafiti juu ya hili tatizo, kama yumo humu anaweza kusaidia kudisseminate matokeo ya utafiti wake.

Mie jambo hili linanikera mno wife utakuta wakati mwingine pedi alizotumia kaziweka kwenye fuko zaidi ya wiki mbili baada ya period.

Nakushauri uondoe au uedit sehemu hii kwenye post yako. Haijakaa vizuri!

Wakina mama kuweni wasafi mnatisha
Je wewe ushakumbani na hii adha??

Zaidi ya kukutana nalo niliopokuwa shuleni/chuoni, sijaliona katika ngazi za kifamilia kama ni tatizo. Wengi wanajitahidi sana hata huwezi kujua kama yupo kwenye siku zake!
 
kijana amekimbia thread yake!...............

Hahahaha! Pambaf kabisa yule! Nilikuwa nataka nizae naye! Hawezi kututukania mama zetu afu tumwache hivihivi! Thanks bwashee, tulikuwa sambamba, huwa hatushindwagi! LOL!
 
Kama mkeo ameyatupa barabarani ntaachaje kukutana nayo? Mwambie mkeo aache tabia mbaya! Omba radhi kwa sababu umewajenerolaizi wanawake wote. Umesahau kuna wanawake wasafi kama mke wangu, dada yangu, mama yangu na wapwa na mabinamu zangu.

Kwa mara ya pili OMBA RADHI! Kalaghabaho! Am counting 8....7....6....


mpwaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiii!!!! LOL!!!

WAPWA zako sie wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hizo itakuwa za huyo bi mmchafu wake!!!

na hiyo radhi kw ataarifa yake inaweza kubaunsi ujue sasa maan analeta kibri
 
mpwaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiii!!!! LOL!!!

WAPWA zako sie wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hizo itakuwa za huyo bi mmchafu wake!!!

na hiyo radhi kw ataarifa yake inaweza kubaunsi ujue sasa maan analeta kibri

Am still counting 5....4.... Akichelewa namwambia mpwa geoff ampe pamanenti bani! Shwaini!
 
Hahahaha! Pambaf kabisa yule! Nilikuwa nataka nizae naye! Hawezi kututukania mama zetu afu tumwache hivihivi! Thanks bwashee, tulikuwa sambamba, huwa hatushindwagi! LOL!

hajawasomaga huyu inaelekea!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom