Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

mtaani kwetu kuna jibaba linatembea na mtoto wake (binti yake) wa kufikia (kambo). Mama mtu ameenda kushitaki kwa mwenyekiti wa mtaa kuwa mumewe amemdhalilisha. Naleta kwenu wanaJF kwa ushauri na...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
The Hill Of Wealth: VYAKULA VINAVYOONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA Kaazi kwetu!!!.
1 Reactions
57 Replies
35K Views
wanawake wa jf naomba mjifunze kutoka kwa kajala mchague wa kuolewa nae na mchunguze sio umeona jamaa ana pesa zake wewe from nowhere.. Unaingia mapenzini nae bila kujua hizo hela katoa wapi...
2 Reactions
76 Replies
7K Views
Mapenzi yanapobadilika na uoga kuingia. Yaliyowatokea tujuzeni!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
The local news station was interviewing an 80-year-old lady because she had just gotten married for the fourth time. The interviewer asked her questions about her life, about what it felt like...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nashkuru wana-jf wote mlionipa mawazo yenu na ushauri wenu mzuri kutokana na tatizo lilokuwa likimsumbua mke wangu, wife alikuwa na jini mahaba ambalo lilimfanya asihisi raha ya tendo la ndoa...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
(¯`·._.•In Loving Memory of My Mother™•._.·´¯) Assalamu Alaikum Amani iwe nanyi. Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa wote ambao walithubutu kuniandikia email na PM...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamani mapenzi ya kweli kwangu si kumtoa out umpendaye tu. Kwangu mie nadhani kama kupendana kwa nini mtoto wa kiume amtoe wa kike tu? Inanipa homa sana ninapomuona mmoja anafanya kila kitu na...
0 Reactions
18 Replies
14K Views
Hapa majuzi nilikutana na mshikaji wangu akiwa hana raha.............kumuuliza nini tatizo..........anadai wamegombana sana na wife.................kisa eti mshikaji alimweleza wife wake kwamba...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Bottle of Wine (Women may LOVE this one!) A woman and a man are involved in a car accident on a slipperly, cold Monday morning; it's a bad one. Both of their cars are totally demolished, but...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mapinduzi ya teknolojia, hasa simu za mkononi kwa kiasi kikubwa yamewezesha urahisi katika mahusiano ya kimapenzi. Hata hivyo, kwa wanaume wenzangu, inabidi tuwe makini sana tunapotongoza...
7 Reactions
72 Replies
24K Views
Kuna mchezo nasikia unaitwa streeppoker unachezwa vipi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF Mimi ni member mpya wa hili jukwaa but am interested with advice na michango mbalimbali ya kimawazo inayotolewa kwenye hili jukwaa. In short kuna binti mmoja nilimpenda na nilimjua kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama 'mwanamke akikuambia hana hisia na wewe tena basi anza kufungasha na ujiandee kuondoka'. Hayo yalikuwa ni maneno ya ushauri wa mama wa makamo kwa vijana wanaopitia misukosuko ya mapenzi...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu nimeingia Dodoma jioni hii. Nataka nile wkend na kimwana wangu aliyepo hapa hapa. Nijuzeni viwanja vipi naweza toka nae. Ningependa sehemu iliyotulia,ninadrive.
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Je unataka mtu anayefanana na wewe au aliyetofauti na wewe ktk tabia na matendo.:thinking::thinking::thinking::thinking::thinking:!!!!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Najuwa tuko wengi tunaoamini utaratibu wa mwanamme kuwa na haki ya kutowa talaka. Mlio kwenye kundi hili nawaombeni ushauri wenu kwa vile mtanielewa nini kinachonisibu. Mwenzangu, nikimaanisha...
1 Reactions
50 Replies
4K Views
Bwana.Fudenge umekaa na mkeo sebuleni,lakini mara kwa mara amekuwa akisimama kwenda jikoni na kurudi,mara akakuuliza... Mkeo:"Hivi baba Chanja.." Wewe:"Unasemaje?" Mkeo:"Leo asubui ulisema...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna tabia nimeikumbuka wakati naishi nyumbani kwetu(kwa baba na mama).Ilikuwa akija mgeni mama anafanya juu chini apate pesa ya kununua hata mapaja ya kuku na ikiwezekana pilau linapikwa siku...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Nilishusha pumzi na kuinyanyua simu yangu ya mkononi ili niipokee simu hii huku mapigo ya moyo yakienda mbio. Sikutamani kuongea naye kwa muda huu, maana nilijua wazi kuwa sauti yake kwangu na...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom