Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Kuna tabia nimeikumbuka wakati naishi nyumbani kwetu(kwa baba na mama).Ilikuwa akija mgeni mama anafanya juu chini apate pesa ya kununua hata mapaja ya kuku na ikiwezekana pilau linapikwa siku hiyo na sisi watoto tunabaki tunakula ugali maharage mgeni anarundikiwa vinono kwa kweli roho ilikuwa inaniuma sana hili swala sema udogo ndio ulininyima kauli.KWA SASA NIPO KIGETOGETO ILA NIKIWA NA MJI WANGU MAALUMU HII TABIA NI MARUFUKU mwendo ni kugawana utachokikuta na huwezi kuniingiza kwenye madeni kisa we mgeni.NYIE MNALIONAJE HILI?