Najuwa tuko wengi tunaoamini utaratibu wa mwanamme kuwa na haki ya kutowa talaka. Mlio kwenye kundi hili nawaombeni ushauri wenu kwa vile mtanielewa nini kinachonisibu.
Mwenzangu, nikimaanisha mama watoto wangu ana nifanyia visa eti kwa kuwa mimi ndie ninaeweza kutowa talaka kwake!
Mwenzangu, nikimaanisha mama watoto wangu ana nifanyia visa eti kwa kuwa mimi ndie ninaeweza kutowa talaka kwake!