Nashkuru wana-jf wote mlionipa mawazo yenu na ushauri wenu mzuri kutokana na tatizo lilokuwa likimsumbua mke wangu, wife alikuwa na jini mahaba ambalo lilimfanya asihisi raha ya tendo la ndoa. lakn kwa sasa anahisi vizuri tu na amekuwa na furaha ya ajabu. furaha ya ndoa hvi sasa inadhihirika waziwazi. matola nashkuru kwa ushauri wako, umenisaidia, na wote ambao mlinishauri bila ya kuwasahau wale walionikejeli na kunitukana, mbarikiwe.
thanks alot my bros and sisters.
thanks alot my bros and sisters.