Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna ukweli kwamba mwanamke akifikia age ya 30 na hana mchumba wala mtoto atakuwa kachelewa sana na hana uwezo wa kupata mume na akaolewa na kuzaa watoto?
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wadau, Nina mpenzi mpya ambae 2meanza ku date toka mwezi wa pili mwishoni. Kiukweli tunapendana bt tatizo limekuja baada ya x boy wake kumpgia simu akaongea nae afu akakata...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
One person once said 'The thinnest title in this world is on what men know about women'. Akimaanisha kitabu chenye kurasa chache zaidi kile ambacho kinaeleza wanaume wanajua nini kuhusu wanawake...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
MWANAMKE Sharuna Gimon (30) ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani kutokana na wivu wa kimapenzi wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kamanda wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Abused Woman Kills Husband, Feeds Him to Cats And Dogs An Egyptian woman had sex with her husband all the night to exhaust him, waited for him to fall asleep and stabbed him to death. She then...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa asilimia kubwa wengi wetutumefanya mapenzi katika umri wetu huu tulionao.Na mapenzi haya ni aidha katika ndoa au nje ya ndoa.Kwa uzi huu nizungumzie mapenzi kabla ya ndoa au nje ya ndoa.Ni...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanawake wa kibongo,imekua nikituma nyuzi kumsaka mrembo humu nakatishwa tamaa na wanaume kua nimepotea,ila naamini sijapotea kina dada warembo.mimi nina miaka 27 na napenda kua na mwanamke...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Akijiamni kuwa haitatokea siku mambo yakawa hadharani, Mzee ambae mtaani tunamheshimu hali yake ni mbaya sana, presha inamsumbua. Kisa alikuwa na nyumba ndogo binti wa staili ya kuitwa mwanafunzi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Niltokea kufanya field maeneo ya zanzibar miez kama 6 imepta now. Nilkaa pale kwa mda wa miezi miwwil. Tulpendana na dada mmoja. Lakn nlmwambia ukwel kuwa nina mpenz wangu arusha. Tulikubaliana...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Ni miez 5 tangu nitengane na mke wangu nahitaj kumrudia lkn ndugu zangu hawataki hasa mama. nifanyeje? nishaurini.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kufuli linaofunguliwa na kila ufunguo husemwa halifai na hutupwa,LAKINI ufunguo unaofungua makufuli yote au mengi hupewa sifa nyingi na kuitwa master key!!!!Why????
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ule msimu wa kuchipua hatimaye umeanza kwa wabeba maboksi. Hivyo jua limeanza kutoka na kuifanya hali ya hewa isiwe ya baridi. Mabinti nao wameanza kuvaa nguo fupi kupita kiasi. Ukiwaona mitaani...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Natafuta mwanamke wa kua nae,awe mweupe na mrefu,miaka 20-27,Ani pm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Miaka ya karibuni tumeona akina mama wakija kaunta kuchukua tissues na kuzama nazo maliwatoni.........hivi zamani ilikuwaje wakati tissues hazikuwepo?...sitaki kujua mnazitumia kufanya nini NB...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Mwisho wa wiki nilimsindikiza rafiki yangu kariakoo alikuwa ameelekezwa na mtu kwenda kutafuta dawa yakui toa vichunusi,sasa tulipofika hapo kumbe duka ni la mzaire mana nilisikia wakimuita...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
KWA NINI WANAUME WENGI SIKU HIZI WANAKWEPA KUOA 1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama mfano mkeo anatokea Mwanza, na...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Nipo mbali na mpenzi wangu kimetokea kitu kidogo ambacho kimenipelekea nijisikie ka wivu fulan ila nimejikaza sijakurupuka nipo nakitafari extent ya ukweli wake. Tuna miaka mingi(10yrs) na ka beb...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Jamvini nimefika kueleza yanayonisibu! Nimekuwa na mchumba wangu kwa miaka9 toka nasoma sekondari enz zile, tulikuwa tumepanga kuoana 2014 baada ya kueweka mambo sawa! Mwaka jana nilmtoa bikra()...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakubwa, Nilishasikia toka zamani kidogo kuwa kawaida Baba ndani ya nyumba anapata wivu kidogo inapofikia wakati wa kumuoza bintiye, hali kadhalika Mama anakuwa na aina fulani ya kijicho pale...
2 Reactions
79 Replies
6K Views
Kuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia …. nanukuu:-...
4 Reactions
154 Replies
40K Views
Back
Top Bottom