.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....
...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI...
Heshima mbele wakuu.juzi nikiwa zangu kwenye moja ya lecture hall maarufu hapa chuon kwetu nikisubir pindi lianze,nlibahatika kunasa maongezi ya wadada flani hvi ambao walikua wamekaa jirani...
1.Its important to have a woman who helps at home, cook, clean and have a job
2. its important to have a woman who can make you laugh.
3. Its important to have a woman who trust and doesnt...
Kwenye familia nyingi (mimi nazifahamu tano) watoto wasipoangaliwa kwa ukaribu wanaweza kuwa na Mahusiano ya kingono bila wazazi wao kufahamu au kuja kufahamu wakati yule wa kike atakapopata...
hanijui, simjui. tumekutana bahati mbaya kwenye salon ya mke wa boss wa mume wake. ndio salon niendayo na mchuchu alishaniambia kua kuna siku nitakutana na mkewe maana ndio salon yake nae.
siku...
Nipo serious na ninahitaj mume ambaye atakuwa na umri wa miaka 27-31,awe na kaz yoyote halali na elim yoyote. Mi umri wangu ni miaka 27 na nimehitim chuo kikuu na ninakazi kwa sasa...
Nnaishi kwenye nyumba mojawapo kati ya nyumba mbili zilizoko ndani ya geti moja. Kwa hiyo tuko karibu sana na Jirani ya ngu kama vile marafiki wazuri.
Jirani yangu ana mtoto mmoja wa kiume na pia...
Jumanne ya juzi kuna kijana mmoja alipigwa sana na kupoteza uhai udsm hall 1 kwa kuitwa mwizi.
Uchunguzi uliofanyika ulibaini yule kaka hakuwa mwizi. Alikuwa boyfriend wa mwanadada mmoja...
Dont worry about the calories in those Valentines Day chocolates a proper celebration in the bedroom can help keep you in shape.
In fact, sex can benefit your health in many ways. Here are...
wedding anniversary, Birthdays, etc..
Naomba kuwa uliza wakaka na waume wa hapa Je ni kwamba
hamkumbuki siku kama hizo au hazina umuhimu sana kwenu..?
Na Je mnataka tuwe tunawakumbusha siku...
Pengine ni ndoa nyingi zinalalama na matatizo ya wakwe
ni kweli kwa namna moja ama nyingine akuna aliezaliwa yuko right kila sehemu
ila naombaleo niweke wazi mama mkwe hana matatizo kabisa kabisa...
:crazy:Jane na Vivy wanafahamiana toka walipokuwa wanasoma Advance katika shule moja,Jane alikuwa na asili ya wivu kwa vivy.walipokuja kukutana chuo kimoja Jane akauanzisha urafiki kwasababu watu...
Hamjambo humu ndani? Nina shostito wangu tumekuwa toka udogo na anatatizo linamuumiza kichwa ofcourse na mimi pia huwa inanikosesha raha na amenitaka ushauri.
Huyu dada yuko early 30s, Mungu...
Jana nilikuwa nimebana kwenye corner moja pale starbucks na piga coffee, mara wakatokea wasichana wawili waka kaa karibu na pale nipo mimi kwenye meza ya pili...wakanza kupiga kizungu chao yule...
Kwa wale wapenzi nataka utumie mizani hii ndani ya weekend hii ili kujua uaminifu,CHUKUA SIMU YAKO MPE MKEO AMA MPENZI NA YEYE AKUPE YAKE NA UMILIKI UANZE LEO HADI KESHO JIONI.je unaweza kufanya...
Habarini za leo wana MMU
Jana nikiwa nimepumzika baada ya siku ndefu nilipata simu toka kwa shogangu(ameolewa na mzungu) ambaye tunatofautiana masaa matatu toka anapokaa yeye na mie.Wao wakiwa...
Kwa binti wa Kitanzia mwenye urembo wa asili asiyetumia mkorogo.Lakini LAZIMA AWE NA NDONYA katika sura yake!Napenda awe MGOGO au MMAKONDE!Elimu kuanzia kidato cha 4,umri kuanzia miaka 24!
Never tell a female that you've been thinking about her(Let her think that you have other things going on in your life other than her).Don't answer a call or text late at night(Woman like to do...
Inavyo onekana kwenye mijadala ya mapenzi na uhusiano, hasa kwenye kile ki sub furum {LOVE CONNECT} ikitokea kajitokeza mvulana/mwanaume anatafuta mpenzi/mchumba au marafiki utakuta watu wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.