Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21. Nimekuwa na mvuto kwa wanawake wengi ila kati ya hao wanawake ninaowavutia ni wachache sana walionivutia tena kwa asilimia ndogo sana like 5% only. Na pia...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jf naomba maoni kidogo. Eti demu wako anakuomba hela na hali yako iko vibaya ; lakini unajipigapiga unamtumia ka elfu 20. Eti ana sema mbona kidogo hivyo? Hata bila kushukuru. Is it fair?
1 Reactions
35 Replies
3K Views
yaani we acha tu........
2 Reactions
169 Replies
11K Views
Jaman mie naomba kufahamishwa kwamba ukiwa na miaka kuanZia 20 na uko chuo uwez kupata mchumba wa kukuliwaza?kama jb n ndio me natafta NO:0719474102
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Kwamba wanaume wanahitaji kuagana na wake zao kwa tendo la ndoa ndani ya masaa sita baada ya mke kufariki! imekaaje hii? Mwanamke akihitaji haki hiyo itakuwaje?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Q: I recently went on a date with a young woman who said she doesn't date men her age because they "don't have a lot to offer." I took this as a very shallow and materialistic response. Because of...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
Guys have you come across/or are you "The Girl Next Door"?. My personal definition of "The Girl Next Door"would be your typical evarage girl yet a rare one amongst the thousands.She is the girl...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani mi nlifiwa na girlfriend wangu mwaka jana mwezi wa 10 kwa ugonjwa wa moyo. Tangu amefariki sijisikii hata kuingia kwenye uhusiano tena manake naona kama namsaliti vle. Naombeni msaada...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wataalamu wamebaini kwamba, sikio la kushoto ndilo likilishwa kauli ya upendo hushika sana kauli hiyo na aliyeambiwa kauli hiyo huwa hawezi kuisahau kirahisi. Uwezekano wa jambo hili siyo suala la...
0 Reactions
21 Replies
14K Views
Lets take a bit of our time with a few tips on how to Love unconditionally Think of love as an action, not a feeling. A feeling is something we get from someone, and when we stop getting it, we...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Inafahamika kwamba mwanaume anamfikisha kilele ni mwanaume "anaefaa" kwa dunia yetu ya leo.Tatizo linakuja namna ya kumfikisha kilele mwanamke!Wataam wa masuala hayo wamejaribu kuainisha namna ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I am looking the girl friend from TZ aged 18-24 with the level of education form 4 to more. I am a university student. Text me in 0782 190697. Pls i am serious. Thanks
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimegundua vijana wengi sana walio kwenye ndoa (wanaume) asilimia kubwa zimu zao zina pasword? Kama huamini mchunguze rafiki yako hapo ulipo! Tatizo ni nini hasa?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanajukwaa wenzangu mm ni mwanafunzi ktk chuo kikuu kimoja hapa nchini tatizo langu ni kwamba nina soma chuo kimoja na mama MTU mzimza na ni mke wa mtu tatizo lake haishi kuja chumbani kwangu eti...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
  • Closed
Asanteni, nimeshapata mchumba
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Hey mi naitwa victor umri miaka 18 nipo kidato cha tano natafuta rafiki wa kike dini yeoyote na kabila sibagui umri ni 18 years & ~15 mwanafunzi itakuwa ishu...aliyeserious awasiliane nami kupitia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Natafuta marafiki. Wawe waa jinsia zote. Wawe watu wenye tabia njema kwa jamii
0 Reactions
5 Replies
1K Views
je kufanya mapenzi bila kinga ni ishara kwamba mnapendana kwa dhati, nina mpenzi wangu kila siku analalama kuwa simpendi kisa atataka peku peku na mimi sipo tayari,
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Kuna msichana mmoja mzuri na anavutia nimetokea kumpenda,nikaanza mchakato wakumtokea.kama mnavyojua wadau huwezi kukurupuka kwenye hili nikaanza mchakato taratibu wakutengeneza friendshp na...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4.... NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom