Natafuta mchumba

Status
Not open for further replies.
Kazi kwenu wazee wa kazi tena hana hata vigezo na mashart vya kuzingatiwa yeye anachota ni mchumba.
 
May God bless u,umpate huyo Potential husb,sina mpango wa kuoa mwaka huu ningekutokea,ila huku kuna Magumegume mengi kweli kuwa makini.
 
Wewe umekosea ungetuweka tu avatar tuzuri zuri kama hio ya first lady, tunge kutongoza tu.

Unajua tu avatar tunavutia :biggrin:
 
Speaker is listening to the song: will you marry me? by John Berry

418424_247163132036856_100002295147031_567170_1627625690_n.jpg


Soooo sweeeeeeeeeeeet
 
You're cute,.....ngoja waje waoaji utawapata wengi tu
usishindwe kuchagua.
 
nimependa bandiko lako. halina rongorongo wala nini. safi sana. Mungu akujalie upate Mume mwema. Mimi ntakuchezea tu sababu bado sijawa na mpango wa kuoa. Napenda wasichana wawazi. wewe ni great thinker sana. MUME UTAPATA TENA HAPA HAPA USIHOFU.
 
Una elimu gani,
Kiumbo ukoje? Mrefu, Mfupi, Mnene, mwembamba, au???
Chanzo cha kua Single mpaka sasa ni nini???
Una miaka mingapi toka umeanza mahusiano na wanaume??
Nikifanikiwa kukupata nitakua mwanaume wako wa ngapi????
Unaishi kwako, kwa wazazi, kwa ndugu, au kwa nani???
Uko tayari twende Angaza???
 
Kaka Shark nimeipenda sana falsafa yako, huyu demu umemuuliza maswali ya msingi mno, nashangaa hajakujibu!
 
Una elimu gani,
Kiumbo ukoje? Mrefu, Mfupi, Mnene, mwembamba, au???
Chanzo cha kua Single mpaka sasa ni nini???
Una miaka mingapi toka umeanza mahusiano na wanaume??
Nikifanikiwa kukupata nitakua mwanaume wako wa ngapi????
Unaishi kwako, kwa wazazi, kwa ndugu, au kwa nani???
Uko tayari twende Angaza???

Mwajuma jibu maswali hayo wazee wa viwango wakufuate hahahaha
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom