Wanaume tuko wachache sana tangu zama za adam, ila magumegume ni wengi.
umetoka nje ya uzi kongoshoIla jamani Chesiiiiiiiii
Wanajua kunipa laaa utamu laa utamu
Naunga mkono hoja!
Wasiounga hoja mkono waseme SIO !
Siiiooooo (kama watu 50!)
Wanaounga hoja waseme NDIYO!
Ndiiiyooooo (kama watu 50 pia!)
Nadhani waliyosema Ndiyo wameshinda !
Kwani wanawake ndio wakwapi B'? Maana kama kuwaona tu mtaani
hata wanaume vivo hivo ni wengi.... Usijifariji sana wote wamekua adimu.
umetoka nje ya uzi kongosho
Juzi nasafiri wanaume kwenye basi tupo kama 11 kati 60.Nikajiuliza ni wanaume ndo wanazidi kwisha au.Hii sijui inaashiria labda wanawake 10 kwa 1 mwanaume