jamani wanaume tumekuwa adimu

leo nlikua kwenye foleni asubuh..jamaa wanashindana kugawa vipeperushi vya Nguvu za kiume...ni dalili mojawapo kuwa wanaume tupo wachache bado pia idadi ya wasio rizki imeongezeka..purely wanaume tupo wachacheeee
 
Juzi nasafiri wanaume kwenye basi tupo kama 11 kati 60.Nikajiuliza ni wanaume ndo wanazidi kwisha au.Hii sijui inaashiria labda wanawake 10 kwa 1 mwanaume
 
:hippie::A S angry::doh::target::eek:hwell::smile::bowl::rofl::A S 41::mad2::(:bathbaby::rolleyez::crying::whip::glasses-nerdy::A S-cry::lalala::A S-heart-2::playball::censored::shut-mouth::A S shade:
 
wanaume wanaojua uanaume ni wachache...NI KWELI
lakin wanaume wenye kukojoa uku wamesimama na kuvaa boksa ni weeeeeeeeeeeeeeeeeeeng sana mpk wengne wanajiuza



km ilivyo wanawake wenye ukike ni wachache
lakin wanawake wavaa shanga wapo kibaooooooooooooooooooo mpk wengne wapo sokon:hippie:
 
Juzi nasafiri wanaume kwenye basi tupo kama 11 kati 60.Nikajiuliza ni wanaume ndo wanazidi kwisha au.Hii sijui inaashiria labda wanawake 10 kwa 1 mwanaume


du unachekesha...unahesabu wanaume kwa kutumia kigezo cha WAVAA SURUALI?
wanaume matendo kaka....labda ao woooooooooote uliowaona mwanaume yupo 1 wngne woooooooooooote:target::target:
 
Back
Top Bottom