Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4....
NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI.
Uk wa 4 sasa,
Rais wa Manzese madee mwenye chumba kimoja hapo manzese, hivi karibuni alimtumia tax Wema Sepetu na kumkaribisha kwake ili amliwaze kwa msiba ulotokea hivi karibuni. Dereva wa tax hiyo alieleza kuwa baada ya kufika nyumbani kwa wema, aligoma kupanda gari hilo hivo kuondoka mikono mitupu. Nkasema moyoni leo wameniokota hawanipati tena.
NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI.
Uk wa 4 sasa,
Rais wa Manzese madee mwenye chumba kimoja hapo manzese, hivi karibuni alimtumia tax Wema Sepetu na kumkaribisha kwake ili amliwaze kwa msiba ulotokea hivi karibuni. Dereva wa tax hiyo alieleza kuwa baada ya kufika nyumbani kwa wema, aligoma kupanda gari hilo hivo kuondoka mikono mitupu. Nkasema moyoni leo wameniokota hawanipati tena.