Rais amwita wema kwake

Me370

JF-Expert Member
Mar 10, 2008
985
293
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4....

NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI.

Uk wa 4 sasa,

Rais wa Manzese madee mwenye chumba kimoja hapo manzese, hivi karibuni alimtumia tax Wema Sepetu na kumkaribisha kwake ili amliwaze kwa msiba ulotokea hivi karibuni. Dereva wa tax hiyo alieleza kuwa baada ya kufika nyumbani kwa wema, aligoma kupanda gari hilo hivo kuondoka mikono mitupu. Nkasema moyoni leo wameniokota hawanipati tena.
 
ha ha ha...., u made my day mkuu. pole sana. wenzio tushastuka kitambo hatuangaliagi hizo mambo!
 
Matumizi ya neno rais ni utata mtupu!!! Unaweza kukuta eti rais wa wasafi!!!!
 
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4....

NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI.

Uk wa 4 sasa,

Rais wa Manzese madee mwenye chumba kimoja hapo manzese, hivi karibuni alimtumia tax Wema Sepetu na kumkaribisha kwake ili amliwaze kwa msiba ulotokea hivi karibuni. Dereva wa tax hiyo alieleza kuwa baada ya kufika nyumbani kwa wema, aligoma kupanda gari hilo hivo kuondoka mikono mitupu. Nkasema moyoni leo wameniokota hawanipati tena.

Gazeti gani hilo? litaje
 
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4....

NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI.

Uk wa 4 sasa,

Rais wa Manzese madee mwenye chumba kimoja hapo manzese, hivi karibuni alimtumia tax Wema Sepetu na kumkaribisha kwake ili amliwaze kwa msiba ulotokea hivi karibuni. Dereva wa tax hiyo alieleza kuwa baada ya kufika nyumbani kwa wema, aligoma kupanda gari hilo hivo kuondoka mikono mitupu. Nkasema moyoni leo wameniokota hawanipati tena.

:A S shade::A S shade: wanasemaga vichwa vya habari ndio viuzavyo magazeti....pole kwa kuingizwa mjini
 
Ndo maana mi huwa siyasomi! Nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda kusoma Sani, nilipokomaa akili nasoma magazeti yenye habari za uhakika, nashinda JF n.k
 
Tangu nikiwa mdogo baba yangu aliyapiga marufuku magazeti ya udaku, hivyo basi imenitengenezea desturi ya hata kutokusoma heading zake.
 
Umeona eeh. Kuna siku tulikuwa tunapiga story na kaka yangu akanambia hivi mtu si unaweza kutana na Wema uka fall in love bila kujua kuwa ana kashafa kibao; nkamwambia ndio ujue umuhimu wa haya magazeti, mi Wema sijawahi kutana nae lakini nikikutana nae tu ntamjua.
Nambie kijana ujiingize kwenye mapenzi na mtu kama jini Kabula eti ujui CV yake si utakuwa mzembe.

nayapendanga yaaani ni full umbea wa mastaa wa tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom