Looking for girlfriend

Apr 29, 2012
15
1
Hey mi naitwa victor umri miaka 18 nipo kidato cha tano natafuta rafiki wa kike dini yeoyote na kabila sibagui umri ni 18 years & ~15 mwanafunzi itakuwa ishu...aliyeserious awasiliane nami kupitia email yangu vmnganya@yahoo.com au namba za simu 0784999103....good night all!
 
umri miaka 18, mwanafunzi, unataka girlfriend? jipe miaka angalau mitatu ya kujipanga halafu urudi tena
 
dogo utaweza pata wan ya tatu nikuunganishie pale st marian. ama utawapata wafunua vizibo pale corner baa maisha yako yotena umri unaokutosha. tafuta life upate vitu quality bwana acha mchecheto.
 
wakati sie 2na umri kama wenu mda huu 2nakata nyanga hapa una ramsden,tom duncan bila kusahau UP na Mzumbe kitabu sio mzumbe shule somen nyie vijana,mods mkiona vitoto kama hv kwenye mapenzi futen sredi.
 
Dogo vuta subira kwanza!
Haujaanza ku'produce "Tui bubu" wewe!
Ridhika na Chokaa kwanza Rangi utaitumia muda wako ukifika.
 
victor wee soma tu kwanza i promise u saiv upo form five, maliza form six ukienda chuo kuanzia second year wataanza kukufwata wenyewe.........lakin saiv utapata gube gube na form six uje kutaga yai bure
 
Wewe mzazi wako anakugea pocket money kubwa sana kiasi kwamba nawe unataka uanze kuzihonga eti??? Tulia we mtoto......
 
Tulia mdogowangu, hayo mambo yapo omba uzima tu! (soooma soma somaaaa kijana..!!!)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom