Being ignored feels bad. The more that person is important to you the more pain and rejection you will experience. It's nice not to care about people and have uncaring attitude, but what if...
These tips are for every woman out there who suspects that her man is being unfaithful. It is never wise to accuse without proof so, if you want to catch him cheating you'll have to do a little...
Guys,kwa nini mvulana ama msichana akijua unampenda anaanza kuleta mbwembwe?.Yani mapozi,utakuta mtu anajua kabisa,Mary ananipenda,au John ananipenda,hapo kesi zinaanza.Wakati kabla ya kujua...
Sitaacha kushangaa ya dunia. . . . . . . . . Nilikutana na huyu jamaa kwenye hiace,jamaa alikua mwingi wa mawazo,mpaka wakati mwingine akawa anazungumza mwenyewe,nikamuuliza kulikoni?Ndipo...
Usitake kujua ni new member ama lah.
Wewe nikaribishe tu hapa tuwe tunajadili
yale ambayo yanafanya dunia izunguke na isife. Sex.
Nikaribisheni tafadhali maana hii forum MMU wajua nini...
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo..
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako...
Kuna mambo huwa yanashangaza na pengine kuchekesha, ni kisa cha
huyu Jirani yangu.
Kila siku amekuwa akimsimulia mkewe juu ya wapenzi wake wa zamani
hasa pale anapowaona akiwa na mkewe...
habari za jioni wana jamii!? nipo kwenye costa natoka Bagamoyo kutembelea rafiki zangu.
jambo ambalo limenituma hadi naanzisha hii thread ni kwamba kuna mtu amekaa siti ya nyuma yangu ana simu...
Someone once told me that:-
"couple's first fight sets tone for all future's arguments"
Je kauli hii ina ukweli? Tujikumbushe kwa kujibu maswali yafuatayo:-
Do u remember ur first fight...
Nimekutana na rafiki yangu mmoja analalamika kuwa anaukilema yani ana mb*** kubwa(mguu wa mtoto)wanawake wengi anaowapata wanakimbia au wanatumia mikono kumzuia asiweze kushugulika vizuri hapo...
Unakuta ulikua na gal wako tangu zamani,ila inapofka kipindi anaingia chuo kikuu,anaanza kukupotezea kistyle.ivi siku akijidai kujirudisha kwako,utampokea kweli?
Kuna watu wanatamani siku zirudi nyuma wasahihishe makosa waliyotenda.Sasa nakuuliza,je huyo mkeo/mumeo unajuta kuwa nae,huyo mchumba wako unajuta kumchumbia/kuchumbiwa nae?Vipi kama siku...
hivi kuna faida gani kuhadahiwa na maumbile yenye mvuto halafu ukamshupalia mtu ambaye hana harufu hata ya kukupenda? Mimi wenzangu ninampenda yule tu anayenipenda.........mambo mengine...
Karibuni nyote Pemba huu ndo usafiri wetu
Jamani karibuni sana Pemba tudumishe muungano.
Tayari tumesha oa bara sasa mje hata huku kusalimia wakwe zenu.
Pemba kuzuri jamani kuna kila aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.