Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwezi wa 6 mwaka huu nataraji kumaliza chuo nikahangaikie ajira. Nikiwa mwaka wa kwanza nilipata mpenzi ambaye tunapendana saaana na lengo letu ni ndoa takatifu. Namheshimu sana mana ana msimamo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndoa maana yake nini?Je mahusiano maana yake nini?Halafu pia mwenzi wa ndoa nini au ni nani?Usikurupuke,jiulize vyema juu ya unachotaka kujibu halafu ndo ujibu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Unapopata mpenzi na mmemaliza hatua ya kuktongozana na ukakubaliwa je ni mda gani inatakiwa ili mkatende tendo husika?? Je wewe utumia mda gani au leo na vyombo siku hiyohiyo??
0 Reactions
15 Replies
2K Views
tulianza safari kama mida ya kumi na mbili na ushee kwenda hapo mji kasoro bahari ndani ya bm couch, walengwa walikuwa wamekaa adjacent siti ya mbele, kama kawaida niko na kamchina kangu jamii...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
It‘s amazing how the cycle of luv is vicious. You find luv in abundance,you don‘t appreciate.it moves on. You also move on and its ur turn to luv in abundance-the loved one doesnt appreciate you...
0 Reactions
5 Replies
991 Views
fikiria shemeji yako-mke wa rafiki yako-anakuita akikutaka uje haraka kwao. Unafika home kwao unamkuta macho yamemvimba akilia kwa uchungu huku mshikaji wako naye yuko pembeni akijifanya mkavu...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari za Hasubuhi 'The Great Thinkers' Naomba kuwasilisha mada hii ili niweze kupata ushauri mzuri wa kumpa Rafiki yangu ili aweze ku MOVE ON. Anaitwa Anitha (Sio jina Halisi), Anitha ni...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Natafuta mmanamke mwenye umri kati ya miaka 19 hadi 24, wa kuchati na kubadilishana mawazo. Kwa aliye tayari ani PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jaman natafuta msichana wa kawaida wa kuchart nae year 18-23 akiwa tayar anichek 0719474102 tankx
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Jaman nsaidien wana jamii dem nlienae kila siku ananiomba vocha then anadai ananpenda xana!nfanyaje?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Being ignored feels bad. The more that person is important to you the more pain and rejection you will experience. It's nice not to care about people and have uncaring attitude, but what if...
3 Reactions
71 Replies
6K Views
These tips are for every woman out there who suspects that her man is being unfaithful. It is never wise to accuse without proof so, if you want to catch him cheating you'll have to do a little...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Hi,im looking for a girlfriend to chat, share experience etc about real life,plz ni PM
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Fedha ndo kila kitu kwenye mapenzi
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Guys,kwa nini mvulana ama msichana akijua unampenda anaanza kuleta mbwembwe?.Yani mapozi,utakuta mtu anajua kabisa,Mary ananipenda,au John ananipenda,hapo kesi zinaanza.Wakati kabla ya kujua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sitaacha kushangaa ya dunia. . . . . . . . . Nilikutana na huyu jamaa kwenye hiace,jamaa alikua mwingi wa mawazo,mpaka wakati mwingine akawa anazungumza mwenyewe,nikamuuliza kulikoni?Ndipo...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Usitake kujua ni new member ama lah. Wewe nikaribishe tu hapa tuwe tunajadili yale ambayo yanafanya dunia izunguke na isife. Sex. Nikaribisheni tafadhali maana hii forum MMU wajua nini...
3 Reactions
238 Replies
15K Views
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo.. Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna mambo huwa yanashangaza na pengine kuchekesha, ni kisa cha huyu Jirani yangu. Kila siku amekuwa akimsimulia mkewe juu ya wapenzi wake wa zamani hasa pale anapowaona akiwa na mkewe...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
habari za jioni wana jamii!? nipo kwenye costa natoka Bagamoyo kutembelea rafiki zangu. jambo ambalo limenituma hadi naanzisha hii thread ni kwamba kuna mtu amekaa siti ya nyuma yangu ana simu...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Back
Top Bottom