Iwe umeoa/umeolewa, iwe ni wachumba wa muda mfupi au mrefu, yanapotokea baadhi ya mambo haya (na mengine), ujuwe kuwa uhusiano wenu uko matatani na iko haja ya kutafuta ufumbuzi haraka.
1...
Msiniite mbea na sipigi chuku wala sifanyi fitna………………….
Week end hii, nilimtembelea mzee mmoja ambaye nilitambulishwa na rafiki yangu anayeishi mkoani...
Natumai wote tu wazima kwa uwezo wa mola.....:wave:
Kuna jambo huwa nikikumbuka linanifurahisha sana japo siku ya kwanza nilipata mshituko kidogo.
Home kulikuwa na housegirl aliezaliwa 1994,katika...
Habari zenu wanajamvi,
Leo mchumba wangu wangu amenifanyia suprise ambayo nimejuta kumfahamu!
Mchumba wangu (yuleyule tuliyekuwa na problem naye back then-sasa hivi mambo supa)
ni graduate wa...
Salaam wana JF! Kwa sasa tatizo la "mpango wa kando/nyumba ndogo" limekuwa likiota mizizi kiasi kwamba linaonekana kama ni tabia ya kawaida kwa wanandoa na watu walio kwenye mahusiano. Tatizo...
Mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana.. natafuta jimama au demu anayeweza kunitunza kwani mpaka sasa sijapata kazi na sina cha kufanya hapa mjini zaidi ya kushinda humu JF na...
Mwanadamu alivyoumbwa ni mwepesi kughafilika na kupagawa...
Hupenda vya mvunguni lakini masharti yake hayawezi........
Hupenda vya kunyonga lakini vya kuchinja huvikwepa.......
Hupenda vya...
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe...
Ama kwa hakika kweli kufa ni kufaana kikabisa-kabisa
Yawaje haya yawasibu wajane ambao kilio chao ni kanisa lao?
Nilifikiri wajane ni wa kuwaangalia kwa jicho la huruma.,.
Kumbe huyu Baba Askofu...
Asilimia 95 ya wanawake walioko kwenye ndoa na mahusiano hawafiki kilele wakati wa tendo la ndoa,lakini robo tatu ya asilimia hiyo hawajui kama mwanamke naye hufika kilele!Wakati huohuo asilimia...
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, nimemaliza chuo na ninafanya kazi na huwa sipendi kujikweza kwa watu, Nimetafuta sana mchumba ili kama tutaendana tufanye maisha pamoja lakini cha ajabu...
Natumaini weekend ilikuwa nzuri kwa wengi wetu.
Naomba tu-share uzoefu katika hili jamani kwani nafikiri inawezekana tunayaona haya mambo kwa ndugu,jamaa,rafiki au sisi wenyewe tunayafanya...
I am not a writer,
But I have written our love story. ♥
I am not a poet,
But I wrote for you a poem. ♥
I am not a singer,
But I sing a love song for you. ♥...
my good friends the reason am asking this is i have witnessed that there are many Kenyans and tanzanians marrying each other nowadays. not that it did not exist but now its like the rate is so...
Kuna demu kaniambia kuwa shostito wake amemuulizia kama ana namba ya mganga wa kienyeki ili "akamshughulikie" jamaa yake aliyemtenda juzi. Sijui anataka kummaliza au kumlainisha.
Siku hizi (may...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.