Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Jamani mi nlifiwa na girlfriend wangu mwaka jana mwezi wa 10 kwa ugonjwa wa moyo. Tangu amefariki sijisikii hata kuingia kwenye uhusiano tena manake naona kama namsaliti vle. Naombeni msaada nifanyeje ndugu zangu?