Acheni tabia ya kuombaomba na kutongoza tongoza

mwampepec

JF-Expert Member
Mar 22, 2013
487
237
HABARI WANA JF
UNAKUTA MWANAUME UNAMKE NDANI YA NYUMBA LAKINI TABIA YAKO KILA MWANAMKE AKIPITA MBELE yako unamtongoza je huridhiki na mkeo?
NANYI WANAWAKE WA CHIPS MAYAI tabia zenu mbovu kufuga njaa ya omba omba badala ya kujishughulisha kazi mpate hizo chips mayai badala ya kuwa omba omba/
KAMA LIMEGUSA MWENYE TABIA HIZO MKOMEEEEEEEE..........
 
Hiyo ni kweli, wanaume ndivyo tulivyo, ukimuona mwanamke amependeza lazima, umtongoze, hii ni nature, mwanamke ameulamba asipotonozwa ataanza kujiuliza sijapendeza nini? Hakuna hata mwanaume ananisemesha, wanamke hana uwezo wa kimtongoza mwanaume, hawa ni wachache Sana. Kwa hiyo wanawake mtuvumilie sisi wanaume.
 
Ili unielewe natakiwa kufanyaje? Maana naweza nikawa nina shida kweli na usinielewe vile vile

tatizo shida ikikuzidi unapoteza kujiamini, inakuwa shida kueleweka! ili nikuelewe inabidi "ujiongeze"
 
kama wewe umeondokana na haya yote! unastahili pongezi maana hivi vitabia vya kuchepuka vimeota mizizi
 
Hivi kuna wanawake bado wanaomba chips mayai jamani? hao sio wanawake bhana labda watoto wa shule.

Mie nitaomba kuku choma tena wa kienyeji loooh, nije niombe chips mayai ya buku 3 naogopa.
 
Nilichopenda ni kua umelenga kote kote, hujabase upande mmoja, hii inaonyesha hujaandika ukiwa na stress...big up!
Nimekomenti huu uzi kwasababu ya avatar yako. Kama ni mzuri kama avator yako ebu ni pm tukaaribu akaunti yangu.
 
Wisiest man King Seleman alikuwa na WAKE 700 na mahawala 300 kaka!Hawa huwezi tosheka nao wanatushinda tu sababu wengi wetu hapa Dar hatuna pesa za kugharamia tu

Umaskini kitu kibaya sana
 
Back
Top Bottom