Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,220
- 370
Wana JF,
Kuna swala mmoja lasumbua wanaume sana kwanza nililipata kipindi nipo kwenye mahusiano ya GF na kuona kwa marafiki zangu pia.
Kwanini Mwanamke yeye inakuwa ni vigumu sana ku reply msgs kwa simu au unapompigia simu utakuta simu yake yeye kaiacha mara sebureni au akiwa na wenzake mahari wanakula raha simu inaachwa kwenye pochi hutakuta italiaaa weeee au umetuma msg yeye kuichukua na kuijibu itamchukua muda sana, Unless umkute anashida zake ambazo anajua wewe utamtatulia mapema ndipo utaona response ya haraka na ku beep kwake kwa saaana na kutaka kujua umefikia wapi.
Ila cha ajabu utamkuata mwaume akipigiwa tu au kutumiwa msg utamwona anajibu faster kweli hata kama yupo anakula au yupo kwa kikao atajitahidi kwa hali na mali atoke japo 2mins akujibu,
Mara nyingine utakuta mwanamke kakupigia ukachelewa chukuwa utaulizwa kwa ukali UKO WAPIIII!!!!! wakati wewe mwanaume huwezi muuliza kwa ukali hivyo laziam tu utajikuta unaongea lugha laiiiiiniii. alafu ukimuuliza mbona hujibu simu au msg za simu atakuambia simu ilikuwa kwa pochi au ilikuwa mbali au nilikuwa na marafiki zaku twapiga story na ukijaribu muuliza utasikia yaani huniamini
Je huwa nini tatizo??
Mawazo yenu wana JF changia
Kuna swala mmoja lasumbua wanaume sana kwanza nililipata kipindi nipo kwenye mahusiano ya GF na kuona kwa marafiki zangu pia.
Kwanini Mwanamke yeye inakuwa ni vigumu sana ku reply msgs kwa simu au unapompigia simu utakuta simu yake yeye kaiacha mara sebureni au akiwa na wenzake mahari wanakula raha simu inaachwa kwenye pochi hutakuta italiaaa weeee au umetuma msg yeye kuichukua na kuijibu itamchukua muda sana, Unless umkute anashida zake ambazo anajua wewe utamtatulia mapema ndipo utaona response ya haraka na ku beep kwake kwa saaana na kutaka kujua umefikia wapi.
Ila cha ajabu utamkuata mwaume akipigiwa tu au kutumiwa msg utamwona anajibu faster kweli hata kama yupo anakula au yupo kwa kikao atajitahidi kwa hali na mali atoke japo 2mins akujibu,
Mara nyingine utakuta mwanamke kakupigia ukachelewa chukuwa utaulizwa kwa ukali UKO WAPIIII!!!!! wakati wewe mwanaume huwezi muuliza kwa ukali hivyo laziam tu utajikuta unaongea lugha laiiiiiniii. alafu ukimuuliza mbona hujibu simu au msg za simu atakuambia simu ilikuwa kwa pochi au ilikuwa mbali au nilikuwa na marafiki zaku twapiga story na ukijaribu muuliza utasikia yaani huniamini
Je huwa nini tatizo??
Mawazo yenu wana JF changia