Kwanini wengi wa wanawake wanfanya hivyo?????

Jethro

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
2,220
370
Wana JF,

Kuna swala mmoja lasumbua wanaume sana kwanza nililipata kipindi nipo kwenye mahusiano ya GF na kuona kwa marafiki zangu pia.

Kwanini Mwanamke yeye inakuwa ni vigumu sana ku reply msgs kwa simu au unapompigia simu utakuta simu yake yeye kaiacha mara sebureni au akiwa na wenzake mahari wanakula raha simu inaachwa kwenye pochi hutakuta italiaaa weeee au umetuma msg yeye kuichukua na kuijibu itamchukua muda sana, Unless umkute anashida zake ambazo anajua wewe utamtatulia mapema ndipo utaona response ya haraka na ku beep kwake kwa saaana na kutaka kujua umefikia wapi.

Ila cha ajabu utamkuata mwaume akipigiwa tu au kutumiwa msg utamwona anajibu faster kweli hata kama yupo anakula au yupo kwa kikao atajitahidi kwa hali na mali atoke japo 2mins akujibu,

Mara nyingine utakuta mwanamke kakupigia ukachelewa chukuwa utaulizwa kwa ukali UKO WAPIIII!!!!! wakati wewe mwanaume huwezi muuliza kwa ukali hivyo laziam tu utajikuta unaongea lugha laiiiiiniii. alafu ukimuuliza mbona hujibu simu au msg za simu atakuambia simu ilikuwa kwa pochi au ilikuwa mbali au nilikuwa na marafiki zaku twapiga story na ukijaribu muuliza utasikia yaani huniamini

Je huwa nini tatizo??

Mawazo yenu wana JF changia
 
yaani umenigusa kweli, mie kama jpili kama kuna ndugu/jamaa ananitafuta bac atamcal mr, ckumbukagi mambo ya fone nikiwa na shughuli zangu hasa za nyumbani, nikitoka job nikitupa mkoba pale ndio imetoka hiyo mpaka nije kukumbuka fone ni kwamba nimeshamaliza shughuli zangu sasa naona mr mbona kachelewa ndio nikumbuke fone ilipo, hapo micd calls kibao za mr, na ukweli mie nim2mie sms ipite dk 5 hajaijibu naingia hewani na maswali mfululizo...nilidhani ni mie tu kumbe ni baadhi ya wanawake tuko hivi?...mr kashaongeee weee mpaka kajichokea jamani.
 
yaani umenigusa kweli, mie kama jpili kama kuna ndugu/jamaa ananitafuta bac atamcal mr, ckumbukagi mambo ya fone nikiwa na shughuli zangu hasa za nyumbani, nikitoka job nikitupa mkoba pale ndio imetoka hiyo mpaka nije kukumbuka fone ni kwamba nimeshamaliza shughuli zangu sasa naona mr mbona kachelewa ndio nikumbuke fone ilipo, hapo micd calls kibao za mr, na ukweli mie nim2mie sms ipite dk 5 hajaijibu naingia hewani na maswali mfululizo...nilidhani ni mie tu kumbe ni baadhi ya wanawake tuko hivi?...mr kashaongeee weee mpaka kajichokea jamani.
halafu mkitafutiwa wasaidizi mnalalamika hatuwapendi. Siyo?
 
Wana JF,

Kuna swala mmoja lasumbua wanaume sana kwanza nililipata kipindi nipo kwenye mahusiano ya GF na kuona kwa marafiki zangu pia.

Kwanini Mwanamke yeye inakuwa ni vigumu sana ku reply msgs kwa simu au unapompigia simu utakuta simu yake yeye kaiacha mara sebureni au akiwa na wenzake mahari wanakula raha simu inaachwa kwenye pochi hutakuta italiaaa weeee au umetuma msg yeye kuichukua na kuijibu itamchukua muda sana, Unless umkute anashida zake ambazo anajua wewe utamtatulia mapema ndipo utaona response ya haraka na ku beep kwake kwa saaana na kutaka kujua umefikia wapi.

Ila cha ajabu utamkuata mwaume akipigiwa tu au kutumiwa msg utamwona anajibu faster kweli hata kama yupo anakula au yupo kwa kikao atajitahidi kwa hali na mali atoke japo 2mins akujibu,

Mara nyingine utakuta mwanamke kakupigia ukachelewa chukuwa utaulizwa kwa ukali UKO WAPIIII!!!!! wakati wewe mwanaume huwezi muuliza kwa ukali hivyo laziam tu utajikuta unaongea lugha laiiiiiniii. alafu ukimuuliza mbona hujibu simu au msg za simu atakuambia simu ilikuwa kwa pochi au ilikuwa mbali au nilikuwa na marafiki zaku twapiga story na ukijaribu muuliza utasikia yaani huniamini

Je huwa nini tatizo??

Mawazo yenu wana JF changia


...............Hapo nilipotia alama hapo--- tafadhali usiusemee moyo maana sio wanaume wote wenye tabia hii uliyoiongelea hapo. Mie nilikuwa nakatiwa simu ikiita mara mbili sijapokea inakatwa na hata upige utapiga weee hadi switch za Tigo zijam- hapokei na bado akirudi unatoa maelezo kwa nini amepiga simu imeita hukupokea!!

Kuna siku nilishawahiandika hapa kuwa kuna mtu akitoka kazini lazima awe na summary ya
1. Nani alimpigia na alimpigia kwa sababu gani
2. Missed calls - ni za nani na kwa nini hakupokea (Hata kama alibeepiwa au ilikuwa wrong number ni lazima ajue ni nani alimwrongia na kwa nini hakuwrong sehemu nyingine iwe kwake tu??)
3.
 
...............Hapo nilipotia alama hapo--- tafadhali usiusemee moyo maana sio wanaume wote wenye tabia hii uliyoiongelea hapo. Mie nilikuwa nakatiwa simu ikiita mara mbili sijapokea inakatwa na hata upige utapiga weee hadi switch za Tigo zijam- hapokei na bado akirudi unatoa maelezo kwa nini amepiga simu imeita hukupokea!!

Kuna siku nilishawahiandika hapa kuwa kuna mtu akitoka kazini lazima awe na summary ya
1. Nani alimpigia na alimpigia kwa sababu gani
2. Missed calls - ni za nani na kwa nini hakupokea (Hata kama alibeepiwa au ilikuwa wrong number ni lazima ajue ni nani alimwrongia na kwa nini hakuwrong sehemu nyingine iwe kwake tu??)
3.
3. Kwanini umefuta records za missed/dialled/received calls?
 
...............Hapo nilipotia alama hapo--- tafadhali usiusemee moyo maana sio wanaume wote wenye tabia hii uliyoiongelea hapo. Mie nilikuwa nakatiwa simu ikiita mara mbili sijapokea inakatwa na hata upige utapiga weee hadi switch za Tigo zijam- hapokei na bado akirudi unatoa maelezo kwa nini amepiga simu imeita hukupokea!!

Kuna siku nilishawahiandika hapa kuwa kuna mtu akitoka kazini lazima awe na summary ya
1. Nani alimpigia na alimpigia kwa sababu gani
2. Missed calls - ni za nani na kwa nini hakupokea (Hata kama alibeepiwa au ilikuwa wrong number ni lazima ajue ni nani alimwrongia na kwa nini hakuwrong sehemu nyingine iwe kwake tu??)
3.

3. Kwanini umefuta records za missed/dialled/received calls?

4. Ina maana siku nzima hujapata sms?? Kama ndio, kwa nini?? Kama hapana... zimeenda wapi?
 
Babu yangu na Askofu mmenifanya nicheke kwa nguvu ofcn mwenzenu. Yaani acheni tu hizi simu saa nyingine tunalaani kwa nini zimetufikia!!
 
4. Ina maana siku nzima hujapata sms?? Kama ndio, kwa nini?? Kama hapana... zimeenda wapi?

lol! Askofu! Shurti kuwa na kikao kila siku joini kuyajibu maswali ya sms/calls ngapi zimeingia au kwanini hazikuingia na zimetoka kwa nani na mna uhusiano naye gani (kama si ndugu au rafiki) na kama zimeingia kwanini zimefutwa blah blah blah! Hizi simu kazi kweli kweli!!
 
yaani hata sio wadada tu wenye tabia hizi hata wanaume pia wapo wengi tu wenye tabia kama hizi, mie nadhani sababu kubwa mhusika anakuwa anajua anapendwa sana na ndo maana anajifanyia mambo yake tu kwa jinsi anavyotaka yeye, kama kutopokea simu, kutojibu mesage kwa mda unaotakiwa, na vitu vingine vingi vya kukuonesha kwamba hakujali kiiiiiiiivyo kama unavyomjali yeye
 
lol! Askofu! Shurti kuwa na kikao kila siku joini kuyajibu maswali ya sms/calls ngapi zimeingia au kwanini hazikuingia na zimetoka kwa nani na mna uhusiano naye gani (kama si ndugu au rafiki) na kama zimeingia kwanini zimefutwa blah blah blah! Hizi simu kazi kweli kweli!!

BAK... huwezi amini tunapata kazi kubwa sana ya kusuluhisha mambo madogo mengi kama haya...
 
...............Hapo nilipotia alama hapo--- tafadhali usiusemee moyo maana sio wanaume wote wenye tabia hii uliyoiongelea hapo. Mie nilikuwa nakatiwa simu ikiita mara mbili sijapokea inakatwa na hata upige utapiga weee hadi switch za Tigo zijam- hapokei na bado akirudi unatoa maelezo kwa nini amepiga simu imeita hukupokea!!

Kuna siku nilishawahiandika hapa kuwa kuna mtu akitoka kazini lazima awe na summary ya
1. Nani alimpigia na alimpigia kwa sababu gani
2. Missed calls - ni za nani na kwa nini hakupokea (Hata kama alibeepiwa au ilikuwa wrong number ni lazima ajue ni nani alimwrongia na kwa nini hakuwrong sehemu nyingine iwe kwake tu??)

3.


ndoa ngumu eeeh....
 
Mi leo nimesahau cm home sasa cjui nayo ni bse ni mwanamke!
 
4. Ina maana siku nzima hujapata sms?? Kama ndio, kwa nini?? Kama hapana... zimeenda wapi?


Duh.... Askofu hii kali..... tuna kazi kubwa bana eh lakini ndivyo hivyo...necesarry evils these phones have become!!
 
Duh.... Askofu hii kali..... tuna kazi kubwa bana eh lakini ndivyo hivyo...necesarry evils these phones have become!!

Kazi kubwa sana... kuweni hodari na moyo wa ushujaa katika maombi... ni hila za shetani tu hizo
 
yaani umenigusa kweli, mie kama jpili kama kuna ndugu/jamaa ananitafuta bac atamcal mr, ckumbukagi mambo ya fone nikiwa na shughuli zangu hasa za nyumbani, nikitoka job nikitupa mkoba pale ndio imetoka hiyo mpaka nije kukumbuka fone ni kwamba nimeshamaliza shughuli zangu sasa naona mr mbona kachelewa ndio nikumbuke fone ilipo, hapo micd calls kibao za mr, na ukweli mie nim2mie sms ipite dk 5 hajaijibu naingia hewani na maswali mfululizo...nilidhani ni mie tu kumbe ni baadhi ya wanawake tuko hivi?...mr kashaongeee weee mpaka kajichokea jamani.

Teh teh teh teh teh!!!!!

Umeniacha hoi sana nyamayao, hiyo halii inakuwa ni ngumu sana kwetu sie wanaume unakuta tumeisha lalama mpaka sasa unajiuliza ivi huyu mwanamke hajui umuhimu wa simu yake jamani duuuh,

Ndio maana unakuta watu wengine wenye watoto huwa inawalazimu kununua simu na kuwa watoto wao unakuta umechelewa kurudi mara mtoto anakupigia dadii uko wapi hujarudi na hii ndio njia nyingine kumshika chini mumeo awahi rudi home

 
BAK... huwezi amini tunapata kazi kubwa sana ya kusuluhisha mambo madogo mengi kama haya...

Nakubaliana kabisa na wewe Askofu mambo mengi yanayosababisha maelewano kutokua mazuri ndani ya mahusiano ni madogo mno lakini unaweza kushangaa athari zake zinavyokuwa kubwa. Niliwahi kucheka sana marafiki zangu walipogambana sana kisa sufuria waliyosongea ugali. Hawa wako nje ya nchi na hivyo husaidiana kazi za nyumbani. Sasa mama alikuwa anadai mara ya mwisho walipopika ugali yeye ndiye aliyeosha sufuria na mume akasema hapana niliosha mimi...yaani ugomvi ulikuwa mkubwa mno huwezi kuamini kisa sufuria tu ambayo haichukui hata dakika tatu kuiosha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom