rutabazi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 494
- 290
Habari wadau bila shaka mu wazima katika ubora wenu.
Nimekuja humu angalau nipate mwanga naona stress zimenizidi umri wangu.
Nimeshakua kwenye mahusiano na watu chini ya tano kama sikosea kwa umri wangu (17-24) mambo yanayonipata sasa ndo yananipelekea nije kupata mwanga na ushauri humu kwenye hili jukwaa.
Mambo yenye ni kama haya;
- Skendo zinaaza za hapa na pale.
- Kuwa mwanamke malaya sana.
- Mara atakua na ngoma si bure.
- Mara atakua napepo la ngono.
- Wengine ni mapungufu yakibndamu siwezi mkoso Mungu
Kwa ilo la umbaji ni wachache pia nilikua nao (viziwi, kumbuku ndogo, n.k) ni wachache sina.
Tatizo nao kabisa(honestly)
- Tatzo kubwa lipo kwa hao waskendo Lina niumiza limenipeleke kuona ninakanuksi labda maana imenikuta sana.
Nimepumzika kwasasa ni miezi imepita kwakweli.Nimecheck afya iko vizuri lakini nahisi nibahati yangu pia lakini skendo kwa hao niliokuwa nao linarudisha nyuma sana.
Lisemwalo lipo ndo wasiwasi wangu (waswahili) wadau haya mambo yakoje kwenu ni dalili gani huko baadae linaniwazisha sana.
Happy Valentine's day to all!
Nimekuja humu angalau nipate mwanga naona stress zimenizidi umri wangu.
Nimeshakua kwenye mahusiano na watu chini ya tano kama sikosea kwa umri wangu (17-24) mambo yanayonipata sasa ndo yananipelekea nije kupata mwanga na ushauri humu kwenye hili jukwaa.
Mambo yenye ni kama haya;
- Skendo zinaaza za hapa na pale.
- Kuwa mwanamke malaya sana.
- Mara atakua na ngoma si bure.
- Mara atakua napepo la ngono.
- Wengine ni mapungufu yakibndamu siwezi mkoso Mungu
Kwa ilo la umbaji ni wachache pia nilikua nao (viziwi, kumbuku ndogo, n.k) ni wachache sina.
Tatizo nao kabisa(honestly)
- Tatzo kubwa lipo kwa hao waskendo Lina niumiza limenipeleke kuona ninakanuksi labda maana imenikuta sana.
Nimepumzika kwasasa ni miezi imepita kwakweli.Nimecheck afya iko vizuri lakini nahisi nibahati yangu pia lakini skendo kwa hao niliokuwa nao linarudisha nyuma sana.
Lisemwalo lipo ndo wasiwasi wangu (waswahili) wadau haya mambo yakoje kwenu ni dalili gani huko baadae linaniwazisha sana.
Happy Valentine's day to all!