Kuacha na kuachwa! Ipi ni shughuli pevu

Kuacha na kuachwa! Ipi ni shughuli pevu

Teamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2009
Posts
12,271
Reaction score
1,069
WAKUBWA!
katika maisha ya mapenzi,malavidavi na mashamsham yote,lipo swala a UPANDE WA PILI WA MAISHA YA MAPENZI......!which is KUACHA,na KUACHWA.

Ninayo imani kwamba matukio haya mawili yana hisia tofauti,maumivu tofauti,n.k n.k

bila kuangalia chanzo kinachopelekea maamuzi haya YENYE UCHUNGU MKUU (hasa kama anaelifanya,au anaefanyiwa ALIPENDA),KUNA MOJA WAPO linaweza kuwa 'SHUGHULI PEVU'

NAOMBENI TUJADILI,ipi inaweza kuwa shughuli pevu?
 
mh! ktk mapenzi kuachwa ni soo zaidi but inategemea na chanzo cha kuachwa sometimes mtu anaforce mwenyewe kuachwa.....
 
WEWE BADO HUJAPENDA,then UKAUDHIWA,ukalazimika kuacha!



kuacha ya hivi nadhani mna kauwezo ka kurudiana kwa kuweka tofauti zenu mezani then mnasonga! kuachwa ni shughuli, kwa yoyote aiyepitia hiki kitendo anajua maumivu yake looo, mapenzi kitu kingine.
 
Sidhani kama kuna la kujadili hapa,kwa sababu imekaa straight,kuna mtu ambaye hajui kuachwa ndio kubaya?leta topic nyingine yenye complication.
 
NYAMAYAO!
kuacha nako NI BALAA TUPU.tena impact yake NI ENDELEVU.unajua ukimfanyia mtu kitu UNFAIR,ukamfrustrate,DHAMIRA INAKUSHITAKI SANA..........!
 
Kuachwa ni soo, usiombe ikakutokea.
 
Ukiwa unampenda mtu haswaa vyote ni vigumu yaani kuachwa ama kuacha kutokana na sababu mbalimbali.
ILA kuachwa ni shughuli pevu zaidi mbaya zaidi kwa yule uliyempenda.
 
NYAMAYAO!
kuacha nako NI BALAA TUPU.tena impact yake NI ENDELEVU.unajua ukimfanyia mtu kitu UNFAIR,ukamfrustrate,DHAMIRA INAKUSHITAKI SANA..........!


Mpaka uamue kumwacha mtu..hukurupuki tu.Unakuwa umepima, ukalinganisha na kuchukua uamuzi.Mtu kama unampenda kikweli huwezi tu siku moja ukamwacha bila sababu.Wapo wanaolazimishwa kuachana kwa misingi labda imani zao zimewakataza au wazazi wamewakataza n.k lakini hawa wanaachana kinadharia tu.Wanapopata fursa hujiiba na kurudiana hata kama ni kwa muda!
Labda DGEOUFF utupe uzoefu wa hiyo impact endelevu.
 
Mkuu,
Bado sijaikuta hiyo.


sis! usiombe ikukute! ilinitokea enzi hizo looo, bora ungesema tumegombana/korofishana, 2po pa1 jioni, kesho yake unamcal mtu hapokei cmu, msg hazijibiwi! baada ya cku kadhaa anaku2mia sms "naomba tufikie hapa tulipofikia, nina mambo yangu binafc yananikwaza ningependa nitulie mwenyewe! ni byfnd wa 2yrs! i was shocked! nilimpenda sana yule mtu, hapana! nilisema ctakaa nipende tena, mungu kaweka kitu kusahau! after 1 yr ananical kutaka 2oane ana mazungumzo na mie, nikamwambia 2zungumzie kwenye cmu me kwasasa ni mchumba wa mtu na nipo mbioni kungia ndani! nilishangaa aliponijibu" wewe ndio ulikuwa chaguo langu plz badili mawazo urudi kwangu, kote cjapata m'mke kama wewe, naomba 2rudiane na ndoa ya haraka sana 2ifunge"...cjui kama mwanaume atatabirika kweli!
 
Ukiwa unampenda mtu haswaa vyote ni vigumu yaani kuachwa ama kuacha kutokana na sababu mbalimbali.
ILA .

belinda,
nimeisoma hadi hapo nilipoinukuu hii post.maanake mimi nazungumzia UPENDO HUO WA HASWAAAAAAAAA
 
Duh nyamayao pole mpenzi nadhani it was a shock of the year to you. Hawatabiriki hawa ila nasikia people say ni bora uolewe na mwanaume anayekupenda sana kupita unavyompenda wewe sijui kama ina ukweli. Maana wakijua unawapenda huota mapembe hawa (Inawezekana sio wote but hao walopita katika dunia yangu walikuwa hivi wote.

Naungana na Ally Choki na Nyota Ndogo- Nimeamua sitopenda tena, Kila nikipenda mwishowe naumia!!
 
Kuachwa kuachwa ni shughuli pevu kwa yule uliye mpenda ....hicho ni kibuti kinauma kama umemzimia ndo anakumwaga dah unakuwa mdogo kama priton.
 
sis! usiombe ikukute! ilinitokea enzi hizo looo, bora ungesema tumegombana/korofishana, 2po pa1 jioni, kesho yake unamcal mtu hapokei cmu, msg hazijibiwi! baada ya cku kadhaa anaku2mia sms "naomba tufikie hapa tulipofikia, nina mambo yangu binafc yananikwaza ningependa nitulie mwenyewe! ni byfnd wa 2yrs! i was shocked! nilimpenda sana yule mtu, hapana! nilisema ctakaa nipende tena, mungu kaweka kitu kusahau! after 1 yr ananical kutaka 2oane ana mazungumzo na mie, nikamwambia 2zungumzie kwenye cmu me kwasasa ni mchumba wa mtu na nipo mbioni kungia ndani! nilishangaa aliponijibu" wewe ndio ulikuwa chaguo langu plz badili mawazo urudi kwangu, kote cjapata m'mke kama wewe, naomba 2rudiane na ndoa ya haraka sana 2ifunge"...cjui kama mwanaume atatabirika kweli!
pole sissy hata kama ni history.
Relationships zina challenges zake.Ukute alikuwa anataka uhuru wa kuhangaika huku na kule.. na huko alikoenda kote kakuta soo!Ndiyo anakumbuka shuka wakati asubuhi ishafika!

Haya mambo ni magumu sana. Nimekumbuka thread moja hapahapa JF kuhusu BF wa zamani aliyekwishaoa na sasa anamfuata bibie! Yatakuwa ndio hayahaya tunayoyazungumzia hapa.
 
Hahahaha mi nafrahi sana jukwaa hili lina watu wake huwakosi ukicheki huku lazima utamkuta Nyamayao ukirudi nyuma unamwona Brenda Jacobo dah ukisimama kidogo hapo unamwona Mwanajamii one ukisema utoke unamkuta Womenofsubstanc.....yaani raha tupu michango yenye akili iliyo simama.
 
Labda DGEOUFF utupe uzoefu wa hiyo impact endelevu.


HAPA NIMEPAPENDA!
ningependa kukupeni uzoefu wangu kwenye hii 'sustainable-impact'.lakini kabla ya kufikia huko ningependa MNIAMINI JAMANI.kuna impact moja inakuwa kama JINAMIZI!UNAKUTA HUNA AMANI.unasononeka,roho inakuuma

.........hatima ya yote utamtafuta na kumwomba msamaha,ili UPATE PEACE-OF MIND.

anaeachwa huwa anaumia mwanzoni(kama alipendalakini finally,ni kama maumivu huwa yanaisha.

ila anaeacha!........anafanya kwa kukomoa na anajiona kawini mwanzoni mwa picha(hasa kama alifanya ivo kwa ubabe wake tu).kama alipenda LAZIMA ATAUMIA SANA,kuna vitu vingi atavimiss sana.anaweza hata kujiingiza kwenye ulevi,au kuwa kicheche ILI APATE RELIEF

TRUST ME!hii kitu jamani muiangalie kwa three dimension mtajua tu
 
nilisema ctakaa nipende tena, mungu kaweka kitu kusahau! after 1 yr ananical kutaka 2oane ana mazungumzo na mie,

Mi nilisema hapo nyuma mkisha kuwa katika relationship kuachana moja kwa moja ni ngumu sana....kwa kifupi mnaingia katika uhusiano wa kihawala na hawa iwa hawaachani mpaka sijui iweje.
Lakini unajua mwenyewe kama mlirewind au lah.
 
Haya mambo ni magumu sana. Nimekumbuka thread moja hapahapa JF kuhusu BF wa zamani aliyekwishaoa na sasa anamfuata bibie! Yatakuwa ndio hayahaya tunayoyazungumzia hapa

Mahawala iwa hawaachani kamwe hata siku moja wewe aliyekufundisha ukubwa akiomba mrewind utamnyima?Lakini unajua wewe usiseme hapa iwe siri.
 
Back
Top Bottom