Kwanini infidelity imeongezeka sana kwa jamii yetu?

Kwanini infidelity imeongezeka sana kwa jamii yetu?

carmel

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2009
Posts
2,836
Reaction score
267
Jana tu jioni,(kwa wale wa Tanzania) nilivyotoka ofisini nikiwa natafakari ishu ya mwana jamii one nikapitia mitaa flani ya kati. nikakutana na dada mmoja ana duka la nguo, alikuwa very upset kwamba hana mood ya kukaa dukani kabisa hiyo siku. Nikamuuliza kulikoni? Akaniambia, mdogo wangu niliyoyaacha huko nyumbani hata sitaki kuyawaza, maana hayavumiliki na huyu mume mi ntamwacha.

HOW interesing nikazidi kuprobe, aksema, juzi nimetoka dukani nikakuta simu ya mume wangu inachajiwa, ina misscall kama saba, na meseji, nikasoma mesji, kumbe ni mdada analalamika eti "ooh darling ujue mi naumwa hivyo usinikatishe tamaa, nachotaka ni mapenzi yako na kubembelezwa" mama watu akachanganyikiwa, akachukua namba ya yule dada akaenda hewani, akamuuliza meseji gani umemtumia mume wangu, akastuka, kumbe hajui kama jamaa ana mke na watoto, akasema kwa ustaarabu mi sijui kama kaoa, mi nilikutana naye wakati naenda kigoma kwenye treni tukatongozana na kupeana namba, tulivyorudi mjini tukatafutana na kuanza uhusiano na sasanina mimba ya miezi mitano.

Mama hadi hapo akawa hana la kusema akamuuliza mumewe kakataa katakata hadi leo, sas anasema hawezi kuendelea na yule mume na bla bla nyingi. sijui itakuwaje nikipata update ntazileta.

Lakini swali langu la msingi ni kwamba, kwa nini haya mambo ya kucheat yanaongezeka sana kizazi hiki? Yani wanaume hawakosi nyumba ndogo why?

Kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. Tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?
 
Lol! Ngoja nisepe. Yaleyale ya kulaumiwa wanaume, as if women are all saints.
 
Usiogope Asprin, tulia binamu. ni data ndo zinapelekea tuseme hivi, by the way we mwenyewe mara kibao unatuelezea unavyopenda bar maids.

Kama kuna wanawake wanafanya hivi argue hapa, usikimbie
 
Last edited by a moderator:
Lakini swali langu la msingi ni kwamba, kwa nini haya mambo ya kucheat yanaongezeka sana kizazi hiki? Yani wanaume hawakosi nyumba ndogo why?

Kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?
Wadada siku hizo nao wanajirahisisha kinoma acha mtu usitaniwe tu unakuja moto ndo maana watu wanapeleka pwani tuu!
 
Lakini swali langu la msingi ni kwamba, kwa nini haya mambo ya kucheat yanaongezeka sana kizazi hiki? Yani wanaume hawakosi nyumba ndogo why?

Kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. Tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?

Vague....unless uje statistics hapa carmel!
 
Last edited by a moderator:
Lakini swali langu la msingi ni kwamba, kwa nini haya mambo ya kucheat yanaongezeka sana kizazi hiki? Yani wanaume hawakosi nyumba ndogo why???????????????????? kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?

Binadamu wote wana mapungufu yao si wanaume pekee. Sijui kama kuna takwimu zozote zilizokusanywa popote pale duniani zinazoonyesha kati ya wanaume na wanawake nani "wanaocheat" sana, hivyo kuwalaumu wanaume kwamba ndiyo wanaocheat sana sidhani kama ni sawa.

Miezi michache iliyopita kulikuwa na article kwenye gazeti moja la Tanzania ambapo akina Baba 225 walikuwa wana wasiwasu na watoto wao kama kweli wao ni Mababa halali wa watoto hao na wakaomba ifanywe tathmini ya DNA kuona kama watoto hao na wao. Kati ya mababa hao 225, 150 waliambiwa watoto si wa kwao. Huu ni mfano tu nimeweka hapa si kwamba inaonyesha wanawake wanacheat sana kuliko wanaume. Ukiangalia hata viongozi wa dini walioaminiwa na wafuasi wao na wanacheat na wake wa wafuasi wao na hata kuwalawiti watoto wa kiume.

Kwa kifupi dunia sasa hivi imekuwa tambara bovu, si ajabu haya mambo yalikuwepo miaka mingi tu lakini yalikuwa hayasemwi sana na jamii lakini siku hizi kutokana na DNA na mtandao basi yametapakaa kila kona. Jambo likitokea Marekani usiku huu basi dakika chache limeshajulikana Ulimwengu mzima.
 
Chilean miner Yonni Barrios emerged this afternoon from the underground shaft where he had been trapped for months and straight into the arms of his mistress, not those of his wife of 28 years.
His wife had said she would not attend his rescue after discovering that Barrios had been cheating on her with a lover for years.
When Barrios stepped out of the mineshaft, Susana Valenzuela was there to greet him emotionally, kissing him and hugging him while she sobbed. Barrios stood stoically but did not appear to be overly affectionate in return.
Barrios' wife, 56-year-old Marta Salinas, had said earlier that she would not attend his rescue after discovering that he had been seeing Valenzuela on the sly for years.
"I'm happy because he was saved. It's a miracle from God. But I won't attend the rescue," Salinas told South American newspaper Clarin.
Barrios was the 21st miner rescued from the mine, located in the northern Chilean city of Copiapo, 500 miles north of Santiago. The mine collapsed on Aug. 5, trapping 33 miners until rescue workers were able to bore a 28-inch diameter hole, a project that took two months.



Ajabu ni kuwa jina la mistress ni vuvuzela au nimechapia????? Wazee wa infidelity hii imekaaje?


mama watoto amezira na kauchuna !!!!!!

article-1320112-0B9877B0000005DC-73_306x423.jpg


nyumba ndogo: mmmmmwaaaaaaa
article-1320112-0B9A98DC000005DC-834_306x377.jpg
 
Hivi hapa nyumbani ikijitokeza kampuni inafanya kazi ya kuwasaka wanaodanganya kwenye ndoa zao/mahusiano alafu ikawa inalipwa na muhusika aliyetaka mwizi/mdanganyifu akamatwe si inaweza kuwa biashara nzuri sana au haiwezekani hapa Kwetu?. Angalau kikitolewa kipindi maalumu kwenye luninga kwa wale waliobambwa wanaiba inaweza kupunguza kasi Udanganyifu kwenye mahusiano.


http://www.cheaters.com/?page=thisweek
 
Asikwambie mtu 'mke wa mtu' mtamu! Kuiba raha ila ukiibiwa duh, unaweza lia kilio cha mbwa koko!

MT: usiibe!
 
Hivi kuna mtu ambaye yuko kwenye ndoa hajawahi kuchakachua nje kweli?
 
Usilopenda wewe kutendewa basi usimtendee mwenzio. Kuwa mwaminifu kwa mkeo/mumeo. Wewe kama unaiba nje kwanini uone uchungu ukisikia mwenzio nae hivyohivyo?
 
Anaonekana mtamu kwa sababu unaiba, Ila ukiachiwa umuchukuwe ukikaa naye utamwona wa kawaida tu.
Ni tamaa za binadamu tu kutolizika na alichonancho.

Ni kweli wapo ambao hawajawahi toka nje ya ndoa zao, japo wachache maana wengi wa watu imekuwa kama tabia nayo
si wanaume si wanawake, kutoka nje ya ndoa imekuwa kawaida. Hii yote ni kusahau kiapo ulichoweka mbele ya Mungu na mahitaji ya mwili kuwa na nguvu zaidi ya kuuongoza Ubongo bala ya ubongo ku-control mwili.

Inawezekana kukaa na mwenzi wako bila kutoka nje.

Angalia hii research
How many people commit infidelity? According to Peterson (2003), after reviewing 25 studies of infidelity, renowned psychologist and marital researcher Shirley Glass, author of several books on the subject of infidelity, estimates that "25% of wives and 44% of husbands have committed infidelity." This, however, does not include emotional affairs in which no sexual activity has taken place.

Kwa sasa nadhani figure inaweza kuwa kubwa zaidi, hasa kwetu huku Africa maana kuna jamaa alishawahi sema ukikipasua kichwa cha mtanzania/Mwafrica utakuta kimejaa ''Ngono, dhuruma, chuki, kupenda pombe sana, na kutaka pesa za haraka haraka bila kuzitolea jasho/short-cut.''
 
hapa bongo wapo mabaunsa ukiwapa hiyo kazi dakika watakupigia simu kukueleza kuwa mwenza wako yupo hotel na room no fulani anakula uroda!wanajua ku trace ni balaa
 
hii biashara ingelipa sana ila sio safe hapa bongo,
wanaoendesha kipindi wanaweza letewa majambazi wakauwawa......labda wasionyeshe sura zao wakajulikana.
 
Wanatafutia watu matatizo ya moyo tu.........sio vizuri kujua kama mali zako zinaibiwa bana!
 
Yanini kufa kwa BP.... afanyie mbali nisijue ilimradi heshima iwepo basi
 
Back
Top Bottom