Mpenzi wangu hataki niwe na rafiki wa kike

Disuma

Member
May 23, 2014
62
19
Habari wanaJF,

Ninampenzi wangu nampenda na nikonae for almost 5 years now. Ni mrembo sana, tunaendana na najitahidi kufanya everything a woman deserves.

Ila...

Tatizo kubwa ni kila ninapokuwa na rafiki wa kike maybe nlisomanae wayback nikaanza kuwasiliananae au nmefahamiananae kwenye kazi zangu basi atafanya juu chini amtafute na aharibu urafiki wangu na huyo msichana.

Anawafahamu because mostly anaona nawasiliananao na akiuliza nakuwa direct kumwambia who that person is. So from there anaweza akamtafuta cause I don't put passwords thats to say niko open.

Despite all that yeye ana "rafiki" zake wa kiume ambao mimi ninaheshimu privacy yake na sijawahi kufanya/siwezi kufanya kitu kama hicho.

Ninaelewa kwamba ukiachana na sisi kuwa in a relationship kila mtu anahitaji marafiki na ndio maana siingilii privacy yake, ila ni tofauti kwa yeye anavyonifanyia hali inayonichosha nafkiria nimpige chini kwasababu nimeshaongea sana naona anakuwa too much.


What should I do my bros/sisters?
 
kitu chochote ukiacha kikawa huria sana ni matatizo kuanzia kwenye kutawala nchi, kampuni na hata familia na mahusiano, weka sheria na mipaka bruh, weka password kwenye simu, yeye kuwa mpezi wako haimaanishi ajue kila mtu unayeongea nae
 
your with her for almost five years bile ndoa....

Fanya kumuoa...
 
Muoe kwanza labda roho yake itatulia
halafu weka pasword simu yako
Nitafanyahivyo nikimaliza masters,tulianza mapema ndio maana ni miaka 5 now, hudhani kuweka password ni kama unaficha kitu bro?
 
kitu chochote ukiacha kikawa huria sana ni matatizo kuanzia kwenye kutawala nchi, kampuni na hata familia na mahusiano, weka sheria na mipaka bruh, weka password kwenye simu, yeye kuwa mpezi wako haimaanishi ajue kila mtu unayeongea nae
Najaribu kukuelewa ila sikuona mantiki kwasabu sikuwa na cha kuficha
 
Najaribu kukuelewa ila sikuona mantiki kwasabu sikuwa na cha kuficha
ila sasa utakua umekiona
kuficha kitu haimaanishi ni lazima kiwe kibaya, kinaweza kikawa kizuri tu lakini mwenzako asikuelewe kikazua maswali na hata ugomvi
so simple way ya kuepuka hayo unaweka tu mipaka basi
 
It depends hao marafiki zako ukaribu ulio nao..
Kama mnaitana bby kwenye simu..mnapigiana cmu za usiku sana
Au mna mazoea yaliyovuka mipaka
 
  • Thanks
Reactions: nao
ila sasa utakua umekiona
kuficha kitu haimaanishi ni lazima kiwe kibaya, kinaweza kikawa kizuri tu lakini mwenzako asikuelewe kikazua maswali na hata ugomvi
so simple way ya kuepuka hayo unaweka tu mipaka basi
Asante!
 
It depends hao marafiki zako ukaribu ulio nao..
Kama mnaitana bby kwenye simu..mnapigiana cmu za usiku sana
Au mna mazoea yaliyovuka mipaka
Just random life conversations,asante
 
Wasichana na aina zao za wavulana na namna zao za kuwatreat....ww anakutreat kiboya type...haiwezekan yeye awe na friends then ww akugomee
 
Nitafanyahivyo nikimaliza masters,tulianza mapema ndio maana ni miaka 5 now, hudhani kuweka password ni kama unaficha kitu bro?



Mkuu mbona unajiexpress saana? okay anyway tunashukuru kutufahamisha kuwa unasoma masters.lkn otherwise ilibid utujb simple tu
 
umuache kwa kuwa ana wizu haina maana! dunia ya leo utamwamini nani lazima awe makini maana hao sio dada zako so uwezekano wa kutembea nao ni mkubwa. tulia nae mfanye maisha. mkipendwa mnaona shida, msipopendwa na kuonewa wivu mnaanza kulalamika. hebu tulia nae na jiepushe urafiki na kina dada umpe amani mwenzako
 
Miaka mitano unamahusiano nae hujamuoa, afu unawaza kumuacha kwa kipindi chooote ulichompotezea mda akikuendea kwa wich afu kajamaa kasisimame kabisa atakuwa amekosea kweli!
 
Back
Top Bottom