Wakuu,salama?
Ebana juzi nilikua na appoitment ya kukutana faragha na mrembo flani,asa muda ulivyokua umewadia,yeye ndo akawa amenishtua kuwa muda ndo huo na kwa sababu mie nilikua bado na...
Huyu ni rafiki yangu yapata miaka minane sasa tangu tufahamiane, ni kijana safi na mtanashati wa kweli.Huyu rafiki yangu ana tabia moja ambayo inanishangaza sana na hata yeye sasa anailalamikia...
nimetana na jamaa angu 1 analala mika ana uume mdogo sana kwa ukisimaa ni inch 4 wakati ye kikawaida anajua inabid uwe inch6 so jamaa anahisi anaweza achwa na mke wake ......swal does the size of...
Nimefanya ka uchunguzi kadogo na kugundua kuwa wanaume wengi waliooa hupenda kutoka na wanawake wanaojipamba,kujichubua na kuvaa nguo fupi.lakini kwa mkewe humzuia kujiremba kupita kiasi na kuvaa...
MAMBO 6 YA KUDUMISHA MAPENZI KATIKA NDOA
Habari za Jumapili wana JF,
Wengi watu tukiwa tumetulia majumbani mwetu siku ya leo Jumapili nimeona ni vyema ku'share' nanyi mambo machache kama 6 hivi...
Kwa nyakati tofauti nimeshuhudia wanasaikolojia wakitoa ufafanuzi juu ya ukaribu wa wazazi wote wa pande mbili kuwa karibu na watoto wao hasa wanapokuwa wadogo kati ya 0-2+yrs.
Moja ya sababu...
1. Degree yako ya fist class uliyoipata chuo kikuu haiwezi kukufanya uwe mke first class katika ndoa yako bali ni heshima yako na uthubutu wako.
2. Mwanamke anaemuheshimu mumewe ni mwanamke bora...
Ukitaka mwanamke akuheshimu jaribu kumpiga kwa vitendo sio mateke na mangumi.
Mf:Kama unaona ana tabia ya kuongea kwa kelele mno hata kwa vitu vya kueleweshana na kutakana radhi ondoka nenda...
Naomba ieleweke kuwa nipo kwenye kizungumkuti, nina wachumba wawili ambao wote wanataka niwaoe na bado sijafikia uamuzi nimchukue nani.
Sasa kuna huyu rafiki wa mdogo wangu wanafanya kazi pamoja...
Wakuu,kuna utafiti nimeufanya bila walengwa kugundua kuwa me nawafanyia utafiti,nimegundua kwamba wanawake wengi wakienda msalani huwa hawajichambi na maji,instead huwa wanaenda na toilet paper...
Yapita miaka minne sasa tangu kaka ulipo ondoka nakusema waenda tafuta maisha kaka nchi za wenzetu,tangu ulipoondoka kaka mkeo alibadilika utafikiri ana mume na watoto wawili uliomwachia...
Niaje wakuu!!
Hii ni kwa wanaume
Ule usemi wa mjini heshima pesa shikamoo makelele.
mimi naukubali sana huu usemi sio siri, ukitaka kudhaminiwa
kuwa na hela, otherwise utabaki kulaumu watu...
Hi
I am a man aged 23 years old and 178cm tall. I am a Tanzanian. I am a second year bachelor's degree student. Am here looking for any single girl with the equivalent age as stated above on the...
Naongea na wanaume wenzangu wale walio owa wanawake wenye makalio madogo halafu wakiona wa wenzao wenye makalio makubwa wanaanza kupiga mikelele.
Utakuta uko na mkeo matembezini uku kafungashia...
Habari,
Leo nimekuja na hili baada ya kuhudhuria semina mbali mbali za wataalamu ikanibidi nije na hili.
Tunashuhudia kinamama na mabinti wengi wanaojihusisha na tendo la ndoa kwa muda mrefu...
Kuna mwanamke nimeishi nae miaka mitano kanisumbua kweli kweli mpaka nilimpata BP biashara hawezi, pia miaka mitano hajanizalia, ana kiburi balaa juzi kati kaenda kwao rukwa nimemwambia abaki huko...
Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili.
Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.