Yaaani katika vitu ambavyo vinawachanganya wanawake wengi ni pale wapo na jamaa hana pesa wala haongi ila mtaalamu kwenye kukwichi kwichi, wanashindwaga wachague nini kumwacha au kuendelea nae...
USIPENDE KUFANYA KITU KWA MAZOEA
Usikubali kabisa kuleta mazoea kwenye kazi au biashara yako. fanya kwa ubora wa hali ya juu. Hakikisha kila siku kuna kitu ambacho unaboresha, ambacho kinakufanya...
kwa mara nyingine najitokeza hapa, natafuta rafiki wa kike, awe mkweli, awe mcha Mungu wa ukweli, awe muwazi, napendelea awe mrefu, umri kuanzia miaka 24-27... elimu kuanzia kidato cha sita...
Kwa muda wa miaka kadhaa nmekua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti ila nimekuja kugundua wale wote ambao nilibahatika kuonja mapishi yao nimegundua mahusiano kati ya utamu wa papuchi zao na...
Ni live bila chenga kuwa kuna siku mume anajisikia lakini mke hajisikii,so mzee unaanza kutupia maneno kama uliyompa enzi zenu hadi anakubali, ni kweli au uwongo?
Wenye experience jamani
Habari zenu wana JF,
Leo nimejaribu kufikilia na kuwaza sana historia ya maisha yangu vile mama yangu alivyo nilea mimi, ingawa tulipita katika magumu mengi rest in peace mama! Binafsi ninapenda...
Habari na ninawasalimia kwa jina la JF,
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda kidogo, lakini kinachonishangaza ni kwamba ikitokea nimesahau simu yangu huwa anaichukua na kuikagua...
Habari za Muda huu ndugu wana JF? Leo nawaleta tena hoja nzuri kuhusu vitu vitakavyoweza kukwamisha mahusiano/ndoa yako na njia ya kuondokana nanvyo....Karibu ujielimishe.Unaruhusiwa pia kukosoa...
I am 20 years old girl.I got attracted to my realbiological dad when iwas 15 years and i felt likesleeping with him
.I don't know what caused that coz he's not toomuch handsome. I tried to...
Mwenye sifa zifuatazo;
. Awe na umri kuanzia miaka 30
. Mcheshi
. Elimu haijalishi awe na kazi
. Kuwa na mtoto haijalishi
- Uje PM..
Wasifu wangu:
Nina 25
Nina shahada ya kwanza
Nina kazi...
Wanabodi,
Herini ya mwaka mpya na hongereni sana kwa majukumu yenu ya kila siku.
Baada ya kimya kirefu leo naona nije na mada juu ya siku ya wanawake duniani.
Mie napenda zaidi niiongelee kwa...
TAFSIRI YA KISWAHILI IMEAMBATANISHWA HAPO CHINI. (Due to high public demand.)
Not strange to see aging spinsters knocking their fifties but are sworn to loneliness of single parenthood or...
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi...
Ndugu wana JF,
Nina mke nimezaa naye mtoto mmoja bahati nzuri Mungu kanijalia kazi ambayo inaniwezesha kupata mahitaji yangu ya kila siku kila mwisho wa mwezi na mpa pesa ya kununua kila kitu...
Habari wakuu,
Nina mpenzi ambaye anafanya kazi katika Hotel fulani hapa Arusha ni Mnyaki mzuri wa kawaida tu nimekutana nae kama Miez 3.Nilimpenda mana nilimuona ni mtulivu nikaona nijaribu...
Ni kawaida katika maisha kupima mafanikio ya mambo unayoyafanya ukiwa hai duniani. Mara nyingi watu wengi hujipima kwa mambo ambayo ni ya kawaida kama vile wamejenga nyumba ngapi, wamezalisha...
Habari wana jf?
Nimejitokeza hapa kutafuta mchumba (mke) kwasababu zifuatazo.
1. Umri wa kuoa umefika sina muda wa kusubiri naamini pia Mungu ndiye kanileta hapa.
2. Wadada wengi ninaowapata...
KABLA HUJAFANIKIWA WEWE NI LAZIMA MTU HUYU AFANIKIWE KWANZA
Ndio kila mmoja wetu anapenda mafanikio makubwa kwenye maisha.
Lakini jambo moja la ukweli ambalo huenda hujawahi kulipa uzito ni...
Naleta mkanda mzima punde, sitani si kwa mwanamke mmoja tu wa kimarangu ila nawajua kama 7 hivi, na ni nuksi hawa, sishauri ndugu au rafiki aoe huko, mama yangu,
.
Juzi tar 8 tumetoka kuzika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.