Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.3K
Threads
7.5K
Posts
210.3K

JF Prefixes:

Anaitwa Rehema Komingo. Ni rafiki yangu tulipotezana tangu tulipomaliza chuo SAUT mwanza. Kama unamfahamu na unayo mawasiliano naye naomba uniunganishe naye. Waweza kuniPM kwa msaada.
0 Reactions
40 Replies
3K Views
mimi ni kijana wa miaka 28, ni daktar nimaliza chuo mwka jana kcmc moshi. natafuta rafiki wa kike ambaye naweza kuja kuishi naye kama mke wangu. sifa; 1.awe mwenye umri kati ya 20-24. 2.mkristo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HABARI YA JPILI KINA DADA NA KINA KAKA LEO TUJIFUNZE NI JINSI GANI ITATUSAIDIA KUTOCHOKANA IWAPO TUPO KWENYE MAHUSIANO YAWE YA NDOA AU YA KIRAFIKI TU LEO NITAZUNGUMZIA MOJA TU NALO NI LA KUHUSU...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Asalaam aleykhum wana MMU wenzangu. Imekuwa ni suala la kawaida kwa wake/wapenzi/hawara zetu kulalamika kuwa hawafikishwi kileleni katika suala zima la tendo la ndoa/ngono. Na hivyo basi imekuwa...
9 Reactions
55 Replies
7K Views
Sifa -mweupe -22-25 -160-167 sm kwa urefu -awe wa shule ya maingi preferable -awe dar kikaZi -asiwe mnene tafadhali -muumini wa muungano wa serikali tatu Serious ones PM
0 Reactions
19 Replies
1K Views
mwenza au mpenzi wako anakupa taarifa ya kuja unapoishi.kuja kwake kutafuatiwa na kugegedana usiku kucha au kwa saa fulani.hilo unalijua vyema. maandalizi ni yapi na yatakuwaje?
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Msaada tafadhali kuhusiana na title hapo juu..
0 Reactions
41 Replies
4K Views
ikitokea umegundua kuwa mkeo au mpenzi wako anamahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine na wew kwa wakati huo hauko tayari kumuachia mkeo/mpenzi wako, ni uamuzi gani wa kuchukua kati ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi kwa nini unayempenda hakupendi? na usiyempenda ndio akuganda ganda ka gundi?
0 Reactions
94 Replies
7K Views
Habari wana MMU, Miaka ya hivi karibuni kumekua na wimbi kubwa sana la ongezeko la picha hizi za porn katika mitandao mbali mbali na sababu kubwa ninayoiona mimi ni kukua kwa teknolojia duniani...
2 Reactions
200 Replies
38K Views
1) Mwanaume unamuona mwanamke anatokeza kwa mbele unashindwa kumuangalia usoni unaangalia chini.:high5: 2) Ikitokea mwanaume unakutana na msichana uliyesoma nae chuo au shule, unamsalimia halafu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu hii nimeikuta sehemu, nimeshea tuone ukweli katika hili. (Sex Tourism) In recent years, Tanzania has become more popular as a tourist destination and the number of sex tourists has also...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
mi ni kijana wa miaka 22 kama kina any mature lady interested in young boys...am here just pm me tuongee
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Habari za wikiend wana jf.Kijana mwenzenu nataka niuage ukapera.Mchumba wangu ni mmakonde nachohitaji ni ushauri na tabia za hili kabila la wamakonde.
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Ndugu wanajamii,nina rafiki yangu ambaye tunafanya nae biashara hapa Dar es Salaam,yeye ameoa miezi mitatu iliyopita na mkewe ana mdogo wake ambaye alinitambulisha kwake siku ya harusi maana...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Usiku Huu baada ya pilika za mchana kutwa kila mmoja tumejikuta tunawaza kunyoana.... Bas mambo yakawa mambo, wife akaanza kunishevu ikulu yote.. Ikaja zamu yangu ile sjafika nusu tumejikuta hoi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Yaaan aisee jamani michepuko gharama asee asikuambie mtu.Vinywaji,chakula, usafir ,, hivyo vyote unatumia pesa,, alaf bade ndio uje ule Tunda sasa,, hapo ni Lodge tena ni pesa..
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Leo napenda niwashukuru sana kutokana na michango yenu mlionipatia kutokana na majanga yale nilokutana nayo. Hakika mumeokoa maisha yangu. rejea hapa...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Hbr ya usiku wana MMU wenzangu!!!! Mimi sijambo na hofu yangu ni kwenu mlio mbali nami. Nina hoja moja tuu kwenu Leo hii, nayo ni kuwa M A H A R I ina umuhimu gani ktk ndoa??? Je, inaweza leta...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wana JF, mimi ninatatizo moja, na kabla halikuwepo, ninapokuwa na mwanamke dushelele lina chomoka nusura litoboe suruali, ila nikivaa kondom tukianza mechi dk 5 tuu inalala ila nikivua nikiingia...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Back
Top Bottom