KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,354
Kwa nyakati tofauti nimeshuhudia wanasaikolojia wakitoa ufafanuzi juu ya ukaribu wa wazazi wote wa pande mbili kuwa karibu na watoto wao hasa wanapokuwa wadogo kati ya 0-2+yrs.
Moja ya sababu wanayotoa bi jinsi mama anavyoweza kumwambukiza mtoto wa kiume ile hali ya kupenda wanawake yaani kuvutiwa na wadada kwa maana ya kimapenzi. Hali hii pia ni kinyume chake kwa baba kwa mtoto wake wa kike. Hudai hali hii mtoto akisha ambukizwa huendelea kukua kadrii anavyo kua kwa kimo na akili.
Wamekuwa wakitoa mifano mbalimbali kwa watoto wanao lelewa na wazazi wa upande mmoja kama siyo side yake kwa maana ya 'ke kwa 'me au kinyume chake watoto hawa huwa wanakuwa na tatizo la kupenda mapenzi ya jinsia moja au kukosa mapenzi ya dhati na furaha ya kweli kwenye familia zao.
Sasa naomba kujua facts kwa wazoefu kwa maana kuona au kwa utaalamu wa saikolojia tukisema wazazi ndiyo huwabukiza watoto hali kuwa hamu ya kupenda pupuchi na kugegendwa kwa watoto wa kike??
Reference yangu ninaichukua kwa uzoefu wa kuwa hakuna mtoto anafunzwa kugegeda au kugegedwa ufundi hii mambo hudevelop kutoka wapi ata umfiche mtoto atajua bila ata kuona mahali.
Karibu mwenye mchango wa kuongeza maarifa..!
Moja ya sababu wanayotoa bi jinsi mama anavyoweza kumwambukiza mtoto wa kiume ile hali ya kupenda wanawake yaani kuvutiwa na wadada kwa maana ya kimapenzi. Hali hii pia ni kinyume chake kwa baba kwa mtoto wake wa kike. Hudai hali hii mtoto akisha ambukizwa huendelea kukua kadrii anavyo kua kwa kimo na akili.
Wamekuwa wakitoa mifano mbalimbali kwa watoto wanao lelewa na wazazi wa upande mmoja kama siyo side yake kwa maana ya 'ke kwa 'me au kinyume chake watoto hawa huwa wanakuwa na tatizo la kupenda mapenzi ya jinsia moja au kukosa mapenzi ya dhati na furaha ya kweli kwenye familia zao.
Sasa naomba kujua facts kwa wazoefu kwa maana kuona au kwa utaalamu wa saikolojia tukisema wazazi ndiyo huwabukiza watoto hali kuwa hamu ya kupenda pupuchi na kugegendwa kwa watoto wa kike??
Reference yangu ninaichukua kwa uzoefu wa kuwa hakuna mtoto anafunzwa kugegeda au kugegedwa ufundi hii mambo hudevelop kutoka wapi ata umfiche mtoto atajua bila ata kuona mahali.
Karibu mwenye mchango wa kuongeza maarifa..!