Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,018
- 2,365
Kwanza mimi sio mtaalamu wa masuala ya mapenzi, ila nimepitia changamoto tajwa hapo juu, mimi ni mwanaume nilioa zamani kidogo, mke mzuri wa tabia na sura but akaja kubadilika na kunitawala akawa kichwa cha nyumba.
Nilipambana na hiyo hali ikiwemo kutoa kipigo, kupeleka kwao n.k bila mafanikio.
Ndipo siku moja nikapata dawa ambayo nawashirikisha wenzangu, waliofanyiwa, wanaofanyiwa au wanaotegemea kufanyiwa, remember usimcheke mwenzako jipange ndugu! haya twende.
1.One mistake one goal formula.
usilee mambo madogo madogo ya kipuuzi! mwanamke atakusoma tabia yako mwanzoni kabisa wa ndoa yenu! siku amefanya fyongo ukapotezea bila kumuonya kesho atakwenda next stage.
2.Tendo la ndoa.
ni kweli hiki ni kiungo cha ndoa but kisitumike kama 'kinyanyasio' so mwanamke akijua huo ndio ugonjwa wako utateswa my friend! mfanye yeye akuhitaji wewe sio wewe umhitaji na hata akikunyima ikuume kimya kimya asijue atakunyanyasa ndugu.
3.Mfanye mwanamke awe dependent kwako! kama sio kifedha basi hata kimawazo, mfanye
Nilipambana na hiyo hali ikiwemo kutoa kipigo, kupeleka kwao n.k bila mafanikio.
Ndipo siku moja nikapata dawa ambayo nawashirikisha wenzangu, waliofanyiwa, wanaofanyiwa au wanaotegemea kufanyiwa, remember usimcheke mwenzako jipange ndugu! haya twende.
1.One mistake one goal formula.
usilee mambo madogo madogo ya kipuuzi! mwanamke atakusoma tabia yako mwanzoni kabisa wa ndoa yenu! siku amefanya fyongo ukapotezea bila kumuonya kesho atakwenda next stage.
2.Tendo la ndoa.
ni kweli hiki ni kiungo cha ndoa but kisitumike kama 'kinyanyasio' so mwanamke akijua huo ndio ugonjwa wako utateswa my friend! mfanye yeye akuhitaji wewe sio wewe umhitaji na hata akikunyima ikuume kimya kimya asijue atakunyanyasa ndugu.
3.Mfanye mwanamke awe dependent kwako! kama sio kifedha basi hata kimawazo, mfanye