Ukitaka mwanamke akuheshimu jaribu kumpiga kwa vitendo sio mateke na mangumi.
Mf:Kama unaona ana tabia ya kuongea kwa kelele mno hata kwa vitu vya kueleweshana na kutakana radhi ondoka nenda...
Naomba ieleweke kuwa nipo kwenye kizungumkuti, nina wachumba wawili ambao wote wanataka niwaoe na bado sijafikia uamuzi nimchukue nani.
Sasa kuna huyu rafiki wa mdogo wangu wanafanya kazi pamoja...
Wakuu,kuna utafiti nimeufanya bila walengwa kugundua kuwa me nawafanyia utafiti,nimegundua kwamba wanawake wengi wakienda msalani huwa hawajichambi na maji,instead huwa wanaenda na toilet paper...
Yapita miaka minne sasa tangu kaka ulipo ondoka nakusema waenda tafuta maisha kaka nchi za wenzetu,tangu ulipoondoka kaka mkeo alibadilika utafikiri ana mume na watoto wawili uliomwachia...
Niaje wakuu!!
Hii ni kwa wanaume
Ule usemi wa mjini heshima pesa shikamoo makelele.
mimi naukubali sana huu usemi sio siri, ukitaka kudhaminiwa
kuwa na hela, otherwise utabaki kulaumu watu...
Hi
I am a man aged 23 years old and 178cm tall. I am a Tanzanian. I am a second year bachelor's degree student. Am here looking for any single girl with the equivalent age as stated above on the...
Naongea na wanaume wenzangu wale walio owa wanawake wenye makalio madogo halafu wakiona wa wenzao wenye makalio makubwa wanaanza kupiga mikelele.
Utakuta uko na mkeo matembezini uku kafungashia...
Habari,
Leo nimekuja na hili baada ya kuhudhuria semina mbali mbali za wataalamu ikanibidi nije na hili.
Tunashuhudia kinamama na mabinti wengi wanaojihusisha na tendo la ndoa kwa muda mrefu...
Kuna mwanamke nimeishi nae miaka mitano kanisumbua kweli kweli mpaka nilimpata BP biashara hawezi, pia miaka mitano hajanizalia, ana kiburi balaa juzi kati kaenda kwao rukwa nimemwambia abaki huko...
Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili.
Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na...
Kama wiki mbili hivi nimekua bize nilikuwa na mgonjwa hospotalini Muhimbili,kwa kuwa alikuwa wodi ya wazazi(wajawazito) niliweza kujifunza mengi hasa tatizo la akina mama kujifungua kwa matatizo...
I mean sometimes wanakupa vyeo ambavyo hata ww mwenyewe unaona hauvistahili, they treat u more nicely na kukuzidishia respect ukilinganisha na kipindi cha nyuma mtu ulipokuwa kapuku
What's the...
Mimi bwana ndugu zangu sijafurahishwa kabisa na kitendo cha
Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje?
pia nikaleta Mrejesho: Mama kaniletea mke bila ridhaa yangu...
Nimekuwa ni mmoja wa watu ambao nikiwa na pesa nakuwa mwepesi sana kupata totozi na nawaburuza kweli kweli ila yote hii ilikuwa ni kwa sababu napata vihela vya kawaida kwa hyo skuwa na malengo...
Kama mkeo au mchumba yako ni mweupe jua kabisa kuna midume zaidi ya 20 inamtongoza kwa siku.Njia salama ni wewe Kumuweka karibu mpenzi wako.Kama una Gari mfundishe mapema.Kama hauna inabidi...
Wadu mimi nafikiria kuwa na watoto tuu ambao nitakua nawachukua kwa mama zao na Kuwatunza huku nikiwapa matunzo yote yanayostahili pamoja na Kusoma shule nzuri.
Wengine wanasema siyo vizuri...
Kuna baadhi ya wanawake wa kiswahili sasa sio mabadiliko ya mwili ni sifa au kukomoana, unakuta unatakiwa ulete vitu kibao visivyo vya kawaida, wengine utafikiri anaitwa usiniguse, ndio mahaba...
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa dada zangu na mama zangu wadogo.
Kabla dada hujaamua kuvaa suruari angalia umbile lako kama linaendana na uvaaji suruari.
Najua kina dada wengi wanapenda kuvaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.