Nilimpenda sana huyu binti ila siku isiyo na jina alinimwaga tena kwa mbwembwe. Niliumia sana! almanusura nichanganyikiwe!
Sasa jana mchana nikasema nikimbie Mlimani City kwenda kununua kitu...
Nimekuwa katika hali ya kumfanyia uchunguzi binti mmoja ambaye kwa mwonekano wa nje kanivutia sana.
Kwa ufupi binti kakamilika katika kila idara, pili ni mtoto ambaye anapenda sana kuji keep buzy...
Muda mwema utawale kwako!
Katika Maisha yangu nimekutana na mambo mbalimbali na hili likiwa moja wapo.
Kwa kufanya huduma za Injili maeneo mbalimbali hapa nchini. Imenipa fursa ya kuyajua...
Wana MMU huu ni kama muendelezo wa thread moja hivi iiyoanzishwa na mwana mmu mmojawapo Bujibuji hasa akiwa kalenga swali lake kwa wanaume.Thread ile ilinivutia kwani ni mambo ambayo yapo katika...
Kila kukicha utasikia fulani katendwa mara hivi na vile yani vagalanti patashita vilio haviishi kila siku.
Kuna jambo ambalo lina wagharimu wengi mnapoingia katika mahusiano, mnajenga matalajio...
1. Nini unataka ktk maisha yako.
Wengi wa vijana hujiingiza kwenye ndoa bila hata kuwa na idea ya kile anachokitaka maishani, hii ni mbaya sana kwani anaishi ilimradi liende.
2. Nini unataka...
Nimekuwa nikijadiliana na wanaume wenzangu as well marafiki zangu wa jinsia ya kike kuhusu Wivu.
Katika matokeo nikabaini mambo mawili. La kwanza, wanawake wengi wao wanaamini mwanaume akiwa na...
wadau mnazungumzia vipi kuhusiana na hizi kinga(mipira/condoms) ni kweli zinapunguza maambukizi ya VVU, au ndo kampeni ya kula vi"jero jero'" vyetu tuu???
Pamoja na mazuri mengi yaliyoelezwa katika ziara ya Rais Obama nchini .. lakini binafsi nimependa jinsi inavyoonyesha wanavyopendana na Mkewe Michelle pamoja na watoto wao Malia na Sasha...
Kama unatafuta mchumba vigezo na asilimia zake ziwe hivi. Uzuri uwe 60% Tabia 35% mambo mengine kama elimu, n.k 5%. Sababu kuu ni kuwa 60% za uzuri maana ndio chanzo kikuu cha kusisimua mapenzi...
I recently complained of lower back pain, my wife and I went to a nearby hospital,, who recommended for a massage to the region. When the lady that was to massage me wanted to start, my wife...
Habari wadau!
fahamuni haya ninyi mnaoyatafuta mapenzi.
Usifuate mkumbo,kuwa fulani ana mpenzi mie sina,hivyo ntafanya kila njia ili nami niwe naye.
Hapa mtakua mnafanya makosa.Kabla ya...
Askari wa jadi maarufu kama sungusungu wa mtaa wa Mwatulole kata ya Kalangalala mjini hapa wanadaiwa kumdhalilisha na kumfanya ukatili mwanamke mmoja kwa kumkamata na kumcharaza viboko kwa...
Habari za saa hizi,
Kuna kitu kimenijia leo katika fikra zangu kwanini ni vigumu sana kwa mwanaume kuomba samahani,wengine hata wajue makosa ni yao hawakiri wakaomba samahani.Nakosa majibu...
Wandugu za miaka,
Nimerejea katika jukwaa hili baada ya kukaa mbali kwa muda nikifanya utafiti namna ya kumfanya mwanamke atulizane katika uhusiano. Niseme wazi tu muda mrefu nimekuwa nikisoma...
Namasteeeee!
Kuna ile dhana ya kijana jitunze usikurupukie mamb, jipange, utajutia baadae. tulia dada/kaka hadi baadae. basi unakuta mtu tight a.ss, no man/woman is good enough for them, they are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.