Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,644
- 6,397
Habari,
Leo nimekuja na hili baada ya kuhudhuria semina mbali mbali za wataalamu ikanibidi nije na hili.
Tunashuhudia kinamama na mabinti wengi wanaojihusisha na tendo la ndoa kwa muda mrefu wanakua na matumbo makubwa na baadae kuelekea mauvimbe na hata kansa, pia matatizo ya mgongo hua yanawambua sana kina mama wengi.
Kumbe tatizo hili husababishwa na na kinababa au wanaume ambao huwa hawawafikishi wapenzi wao kileleni ili kufanya kile kitu kilichotakiwa kutoka kitoke mahala husika na si kuishia njiani na kutengeneza mafuta mwilini hasa tumboni na kwenye mgongo hatimaye kufikia kwenye maradhi sugu.
Pia tatizo hili lakutokufika kileleni huweza kusababishwa na mwanamke kama hatokua na hiyari ya kulikubali tendo hilo kwa wakati huo, hivyo kwa vyovyote vile mwanamke ahakikishe anafika kileleni ili ajiepushe na matatizo haya makubwa hapo baadae.
Pamoja na hayo magonjwa hayo pia yanaweza kutokana na matumizi ya mavyakula ya kiwandani,vipodozi na kutokufanya mazoezi na mlo kamili.
Leo nimekuja na hili baada ya kuhudhuria semina mbali mbali za wataalamu ikanibidi nije na hili.
Tunashuhudia kinamama na mabinti wengi wanaojihusisha na tendo la ndoa kwa muda mrefu wanakua na matumbo makubwa na baadae kuelekea mauvimbe na hata kansa, pia matatizo ya mgongo hua yanawambua sana kina mama wengi.
Kumbe tatizo hili husababishwa na na kinababa au wanaume ambao huwa hawawafikishi wapenzi wao kileleni ili kufanya kile kitu kilichotakiwa kutoka kitoke mahala husika na si kuishia njiani na kutengeneza mafuta mwilini hasa tumboni na kwenye mgongo hatimaye kufikia kwenye maradhi sugu.
Pia tatizo hili lakutokufika kileleni huweza kusababishwa na mwanamke kama hatokua na hiyari ya kulikubali tendo hilo kwa wakati huo, hivyo kwa vyovyote vile mwanamke ahakikishe anafika kileleni ili ajiepushe na matatizo haya makubwa hapo baadae.
Pamoja na hayo magonjwa hayo pia yanaweza kutokana na matumizi ya mavyakula ya kiwandani,vipodozi na kutokufanya mazoezi na mlo kamili.