Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mambo vipi familia nzima ya JF!!! Leo nina furaha kwanza coz of mwonekano mpya! Story ipo hivi,Kuna Best yangu wa karibu kaniomba nimpe msaada wa mawazo nikaona si vibaya nikiwashriksha Great...
1 Reactions
25 Replies
10K Views
Salam wakuu, Leo nimemkumbuka mwalimu wangu wa somo la siasa enzi hizo kabla ya kubadilishwa na kuitwa uraia. Alikuwa ananiambia 'Doa' tamaduni mbili zikikutanishwa moja yenye nguvu huimeza...
8 Reactions
94 Replies
11K Views
Salam a friend need advice..plz ..anasema he married a Woman whom already have kids and he love both of them...the kids and their mum but the problem is these kids hawana adabu kabisa...kama.kuna...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Kuna mzee mmoja miaka kadhaa iliyopita alifiwa na mke wake mwezi December ila kufika February (ndani ya miezi miwili) akawa ameoa. Je, hii ni sawa? Si kwamba ulikuwa mchepuko wake? Ni muda gani...
0 Reactions
237 Replies
21K Views
Afrika ni miongoni mwa mabara saba duniani yenye wanawake wazuri na wenye mvuto. Uzuri wa wanawake wengi kutoka bara la Afrika unatokana na rangi zao nyeusi za asili, japo wapo wengi wanatumia...
2 Reactions
91 Replies
34K Views
Habari wadau.. Am 25yrs ila namshukuru Mungu amenipa uwezo Kuna hii kitu inanifanya nihisi wanaume tuko wachache na mda unavyoenda basi tutapungua kabisa kama si kuisha Ila wanawake wataendelea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu enyi wenye kuheshimiwa, Nina omba mnisaidie kufumbua hili fumbo; ni kwanini hawa wakina mama wazuri wazuri hupenda kusema vijana wa kiume wananuka maziwa? Nimekuwa nikilisikia sana...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Mkuu wa kanisa Anglikana agundua babaake sio Welby Image copyrightGetty Image captionKiongozi wa kanisa Anglikana duniani Justin Welby Kiongozi mkuu wa Kanisa la Kianglikana duniani, ametangaza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Profesa wa Afya chuo kikuu cha Oxford: Binti anatakiwa aoelewe akiwa na umri wa miaka 18-23.Na azae na kumaliza kabisa kabla ya miaka 35. Mkivuka hapo utaolewa na mume wa mwenzako
10 Reactions
31 Replies
7K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 32,ninaishi Dar,ni mtumishi wa serikali,natafuta mwanamke wa kuishi nae,awe na elimu ya chuo,awe na shughuli maalum,mwaminifu,umri kuanzia miaka 23-27,rangi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello. Hili swala la kukataliwa kimapenzi najua lipo sana kwa upande wa wanaume lakini sijui kwa upande wa wanawake linakuwa vipi.Au mwanamke anamuonaje, na anamchukuliaje mwanaume anayempiga...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Habari. For married couples, mlifanyaje hadi mkaoa, zilikuja hisia za kuoa au mlishinikizwa na familia au umri au mlifuata tu utamaduni kua mwanaume lazima uoe kipindi flani katika maisha yako...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Hamjambo wadau, Nimepitia mahusiano kadhaa ya kuwa na wanawake tofauti katika harakati za ujana, ila kuna haka katabia unakuta mwanamke wako anakutambulisha rafiki yake vizuri,lakini cha ajabu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hala! Natumai mpo wazima kama title inavosema, je unawezaje kumwambia mumeo au mpenzi wako kama anaharufu mbaya ya mdomo na inakukera sana wakati wa tendo la ndoa? AU VIPI NAWEZA MSAIDIA BILA...
1 Reactions
55 Replies
9K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!! Kaka zangu leo ngoja niwape Lemutuz live straight talk nawaangalia machoni. Kupewa uwezo wa kuoa mnajionaaa vidumee kumbe...
14 Reactions
171 Replies
16K Views
Mkeo anaamka asubuhi anapiga mishe zake fasta kisha anakuuaga anaenda saloon au kwenye kikao cha kikundi, anaoga kisha anafungua kabati anavuta chupi ya kwanza anavaa kisha anaivua, anachukua...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hayaa kumekucha tenaa. ....... asiye na mwana aeleke jiwe hehee heee Kwa mtindo huu... 2016 iwe na miezi 36 looh ndo iingie 2017 hahahahhaa yaani ni raha juu ya utamu chungu zote zinatemwa ptuuu...
4 Reactions
150 Replies
12K Views
Mwanangu mimi ndie niliekutafuta nikakuweka tumboni kwangu miezi 9. Siku ya siku ilipofika nilitimiza wajibu wangu wa kukuleta duniani. Kulea ujauzito, kuzaa na kulea mtoto si mambo ya lelemama...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
BABY NUMBER ONE. Sio kazi ngumu sana kuelewa mwanamke anaekupenda kiukweli. Mwanamke anaekupenda kweli hawezi kukuomba wewe kitu chochote bali atachohitaji kutoka kwako sana sana ni muda wako na...
22 Reactions
112 Replies
15K Views
Habari za leo wadau? =Kuna usemi usemao mwanamke ni kiumbe dhaifu kwakuwa mwanaume aliumbwa kwa udongo ila mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. =Swali langu linakuja hivi ni kwanini siku ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom